hatimaye umeleta zaga zako jukwaa la siasa.Geza Ulole joto la jiwe wacheni kujifanya kwamba hamjaona habari hii. Malazy bwana eti mnapiga nyungu. Dah! Nyungu itawauwa, it is not a scientific cure for corona. Mpo lazy hata kufikiria kunawashinda. Halafu huyo mtu aliyeforge Phd ya chemistry anawadanganya eti mpige nyungu mtapona. Sasa wakubwa wenu wanaletwa Kenya ili kuokoa maisha yao. CCM is a curse.
kwani kenywa wanatibu corona??Msiwatibu, warudisheni huku tufe wote. Hao ndio wanasema hamna korona, halafu wao wanakimbilia Kenya kutibiwa. Wakati huku hospitali hazina madawa wala respirator
imagine kapewa na mazuzu 36.Huna unalojua mpuuzi wewe.
Ujamaa unahusika vipi na corona. Huko Marekani na kwingine nako ni wajamaa?
Na hapo kwenu corona haiuwi kwa vile nyinyi sio wajamaa?
Hadi sasa safu za juu kabisa bara na visiwani zimetikiswa. Acha tuone ikiwa hili nalo litaacha ukimya bila tamko la tahadhari madhubuti kuchukuliwa.
Dogo Mbona unaguna?Mh..
Weee unatafuta nini huku,
Nenda kaongelee mambo ya bbi kule kibera. Mambo ya waTanzania waachie waTanzania wenyewe wajadiliane . Wewe hayakuhusu.
Tupeni majina basi mbona habari yenu iko kimbeyaaHehehe wacha kuchekesha bana, kwani babako ana ubia na JF upangie nani apost wapi, wewe wakati huwa unarandaranda kwa kila taarifa za Kenya huwa umetumwa na nani....
This image below is the tracking of AMREF Health Africa airplanes airlifting prominent Tanzanians to Kenya to save their lives.
View attachment 1705056
Wamepukutika wangapi wanaokuhusu?hali ni tete!!!
watu wanapukutika kushoto kulia.
wengi sana.Wamepukutika wangapi wanaokuhusu?
Ndiyo watanzania wajue kuchanganya akili zao. Hata huko Mloganzila ni wachache mno. Wengi wanaambiwa wajifukize. Utasikia ''hata covid inatibu, madaktari ndiyo wanayoitumia''. Wao ikiwapata hawajifukizi na wanaenda hospital nzuri.Eeeee bhana eeee !! Sisi Mlongazila , wao Agha Khan Kenya !
Hehehe wacha kuchekesha bana, kwani babako ana ubia na JF upangie nani apost wapi, wewe wakati huwa unarandaranda kwa kila taarifa za Kenya huwa umetumwa na nani....
Wewe kunya kunya wasitibiwe hapa Tanzania waliposheheni madaktari vichwa, wakatibiwe hapo kibera ili wakafe kwa harufu ya vinyesi....mbona mnapenda sana kiki za kijinga. Watu wenyewe mmejaa ufukara hata kula ni shida, na safari hii hakuna kuja kugongea mahindi.....endeleeni kujifungia ndani na huyo mvuta bangi wenu..Halafu unaambiwa ICU zimejaa kumbe zimefurika wageni ilhali wazawa tunajifia, hii sasa imekua biashara maana akija bwenyenye mwenye hela yake kutokea Dar, atapewa mashini bora ashushe hela za kutosha, huku wengine tukiambiwa zimejaa.
Utakuta mpaka wanakuja kutokea Burundi maana na huko pia huwa wanajikweza kwamba hawana corona.
Acha ufala wewe kwani nani kasema hakuna corona wakati kila siku viongozi wanatoa miongozo jinsi ya kujilinda. Hadi muone mnafaidika kiuchumi kwa uzushi wenu wa corona ndio mioyo yenu itatulia. Kwani kwenda kenya wao wana dawa kama sio kujaribu corona kuipiga vita serikali ya ccm. Mumeshindwa na mtashindwa tu hadi mwisho. Mlaaniwe wezi na wanyonyaji nyie.Ujamaa system siku zote huwa laana, watu huwa wameshikiliwa akili na hakuna mwenye uwezo wa kufikiria, wenye hela zao wanafanya yao ila maskini na walalahoi wanapigwa sounds za uzalendo, yaani watu wazima wenye mindevu wanakubali kuamini kwamba hamna corona kisa rais katoa tamko kwamba haipo.
Mpaka sasa utakuta matajiri wengi wameshatoka nje na kuchanjwa kimya kimya ila maskini wanaendelea kuambiwa waimbe mapambio ya hakuna corona Tanzania, tumeishinda corona, imeshindwa na haijawahi kuwepo.
Kule jukwaa la siasa humu JF naona nyuzi za tanzia mwanzo mwisho yaani hali mbaya ila jamaa wameshupaza shingo, utakuta watu bado wanabanana kwenye midaladala na kupumuliana kisa waliambiwa corona haipo.
Sikiliza wewe mwanamke na wala usinichekee kwa maana sikutongozi, ukiona wanaume tunajadili mambo ya ukoo wetu. Huna haki ya kujadili. Wewe umeolewa tu kwa mahali na waTanzania. Usijifanye kujua sana. Huna kitu cha kuchangia. Kaa kimya. Labda kwa sababu Kenya kwenu huko hakuna MIIKO. Ukome. Tena ukome kuja kwenye jukwaa hili na kujifanya wewe ndiyo unajua kutuelekeza cha kufanya. Pumbaf kabisa.