Recent content by Miyeyusho

  1. Miyeyusho

    Wakati tunawalaani na kuwaonyeshea kidole Mashoga, Vipi kuhusu wala mashoga? Jamii hatuoni kama kuna hoja ya msingi ya kujadili hapo?

    Habari za muda huu wana jamvi? Nimejaribu kuangalia kwa makini sana juu ya jambo hili la ushoga linavyoleta vuta ni kuvute katika ulimwengu. Nimejaribu kuangalia pande zote, za watetezi na wapingaji wa jambo hili. Jambo limeleta mivutano mikubwa sana haswa kwa nnchi zetu za africa. Naona kuna...
  2. Miyeyusho

    Mwenye hujuzi wa Skrill naomba anisaidie

    Pitia ushauri wa kila mmoja hapo juu, kila aliyechangia amejitahidi kueleza kwa namna yake.
  3. Miyeyusho

    Mwenye hujuzi wa Skrill naomba anisaidie

    Mmetisha wakuu. Kwakweli nawashukuru wote mlio chukua muda wenu kunishauri juu ya jambo hili. Jambo limetiki, kila mtu aliyejaribu kuandika hapa amesaidia kwa namna moja au nyingine. Hakika Jamii forum ni msaada sana. Asanteni sana.
  4. Miyeyusho

    Mwenye hujuzi wa Skrill naomba anisaidie

    Sawa mkuu. Ngoja nijaribu. Asante sana
  5. Miyeyusho

    Mwenye hujuzi wa Skrill naomba anisaidie

    Bank Statement( Electronic Sent), Voter Id. mhhhh no more, hizo tu
  6. Miyeyusho

    Mwenye hujuzi wa Skrill naomba anisaidie

    Dah yaani wanazingua sana tena sana. Almost 3 days naangaika nao tu
  7. Miyeyusho

    Mwenye hujuzi wa Skrill naomba anisaidie

    Nipe uzoefu wako mkuu. Njia yakumfundisha mtu ni kumuelekeza, sio kuuanika ujinga wake.
  8. Miyeyusho

    Mwenye hujuzi wa Skrill naomba anisaidie

    Habari za saa hizi wadau. Samahani, kwa wale wenye hujuzi wa Skrill naombeni mnisaidie, Ni document gani unakumbuka uliwasilisha kwenye kipengele cha Adress Verification na wakakubali. Maana kila document ninayowasilisha wananikatalia. Naomba ambaye aliwahi kulifanikisha hili alishauri...
  9. Miyeyusho

    Naomba connection kupata suppliers kutoka Dubai

    Mkuu naona nakutumia sms dm naona nashindwa. Nichek kwa kujua mengine zaidi kaka.
  10. Miyeyusho

    Msaada wa hiki kitabu

    Mwenye Hard copy ya hiki kitabu tafadhari. au mtu ambaye anaweza kunielekeza pakukipata.
  11. Miyeyusho

    Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

    Natabiri, hii Thread itakua chanzo cha refference mwa vidume vingi hapa JF wawapo wapweke.
  12. Miyeyusho

    Panapo kipato hakuna mwanamke mwenye dharau

    Wanazingua mkuu. Kila tunachofanya ni kuweka hafueni tu, lakini haina uhakika asilimia 100 atatulia kaka.
  13. Miyeyusho

    Panapo kipato hakuna mwanamke mwenye dharau

    Duh hii kali. Ila inasaidia kuondoa stress za mapemzi. Haya mambo yanaumiza mkuu.
  14. Miyeyusho

    Dhana ya kipato kuimarisha mahusiano au ndoa

    Habari za wakati huu wana JF? Binafsi nimekua muumini mkubwa sana wa hii dhana tena sana, jambo la kushukuru mungu inajidhihirisha kwenye maisha yangu siku adi siku. Ngoja niwape kisa kidogo kilichonitokea kutoka kwa shemeji yenu. Jana bwana nilipigiwa simu na mke wangu. Mke wangu tunatimiza...
  15. Miyeyusho

    Panapo kipato hakuna mwanamke mwenye dharau

    Hakuna zaidi ya kupambana kaka. Kaka paka utoboe, mbilingembilenge zinakua nyingi sana. Muhimu Mipango, dhamira ya kutimiza, uvimilivu na kujipa moyo wa kusonga mbele zaidi pamoja na changamoto unazokutana nazo.
Back
Top Bottom