We muislamu mwenzangu kipi ambacho hujaelewa kwenye huo ushauri tuliopewa? Acha ufia dini jibu fact, weka point hizo hela wanapewa na nani ? Factor ni elimu, afya na mahakama ulitakiwa uelezee kipi sisi kama waislamu tunatakiwa tupiganie sio unalalamika tu,
Sisi waislamu wala hatuiitaji hiyo mahakama sijui wakina nani wanataka kutuharibia uislamu wetu, mpaka kuna muda huwa nashangaa hizi mada zinatoka wapi coz hata Msikitini kwenu huwa hatuizungumzii hiyo mahakama, asante kwa ushauri mtoa mada
Mtoa mada unajikakamua kuandika hata vyakuandika huvipati' hata kama ngeleja mjomba usikubali kujizalilisha kuandika upuuzi' tafuta hela kwa njia nyingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.