Recent content by miviga

  1. miviga

    JamiiForums Tanzania Ungana na Mimi mwamba aliye muoa Amina wa Tandale, Demu wa Ally Dreva Boda boda

    Nmimi naona nikutukane weww
  2. miviga

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Natangaza kuidharau Tume mpya iliyoundwa kuchunguza ya Octoba 29, Wananchi niungeni mkono

    Nami nakuunga mkono, ni kuendelezo wa kupoteza muda na kupata kusingizie. Kana haitoshi, kashatoa muelekeo kua nani alichochea na kutoa hela. So wanapita mulemule kua kunainfitration ya outside actor
  3. miviga

    JamiiForums Tanzania Kuhusu kamera za SGR kutofanya kazi, TRC wawaondoa wasiwasi wananchi, wasema zinafanya kazi!

    Kwahiyo clip ya muizi iko wapi au jamaa hajapanda na begi?
  4. miviga

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu apewe maua yake barabara ya Singida - Kateshi. Kazi na Utu - tunasonga mbele...

    Mkandarasi yupo anadunda mtaani, boss tanrod yuko ofisini, kisha mhadhiri Udom yuko rumande
  5. miviga

    JamiiForums Tanzania Wadada hawa wametesa sana JF!!

    Umemsahau haszu mkuu
  6. miviga

    JamiiForums Tanzania Tuelewane waungwana, kuna tofauti gani kati ya hizi style?

    Sasa hapo inagikaje chini? Au iyo style ni kwa wale wanaocheza miguu yote?
  7. miviga

    JamiiForums Tanzania Namna wadada walivyokua wananisifia na wakaka wanavyoniogopa ndio nikajua kumbe mimi mzuri

    Bado akitembea anaonekana ni mwanaume, anatuchafua, arudishe zaga watu wajui si katika sisi
  8. miviga

    JamiiForums Tanzania Nini kilipelekea wewe kupima HIV?

    Mara zote nilizopima ni matokeo ya zambi , maya ya mwisho nilikaa na hofu mwezi mzima, nikasema hii gharama ni kubwa sana nitulie tu
  9. miviga

    JamiiForums Tanzania Namna wadada walivyokua wananisifia na wakaka wanavyoniogopa ndio nikajua kumbe mimi mzuri

    Wadau wanamisemo sana, kumbe na hii imo?
  10. miviga

    JamiiForums Tanzania KUMBUKIZI | Tundu Lissu na Balozi Masilingi walivyokabiliana vikali VOA kuhusu Shambulio la risasi na Uchunguzi wake

    Huyubalozi bure kabisa, et " akufa sasa" analeta hisia kwenye mambo ya msingi
  11. miviga

    JamiiForums Tanzania Kuna uhusiano gani katika hili? Msaada tutani

    Fupisha report yako, unajielezea sana huendi kwenye hoja ya msingi
  12. miviga

    JamiiForums Tanzania Akija Rais atakaye deal na bodaboda nitamshukuru

    ni sawa uulize wasomi waliishije, ajira zilikua nyingi, miji ilikua haina idadi kubwa kama sasa, wasomi walipata ajira wakiwa bdo chuo.
Back
Top Bottom