Habari jaman ,naombe elimu juu ya mtu kuweza kupata mawasiliano yako,ambayo umewasiliana Mfano sms za kawaida na whasup, na nawezaje kuzuia asipate mawasiliano yangu, watu wa it mnisaidie juu ya hili
Habari za leo wakuu,
Naomben mawazo yenu mama yangu amepata mafao ya kustaafu, ameniomba nmshauri afanyaje. Yupo maeneo ya Iringa, nimesema sehemu ili hata unapotoa ushauri uangalie na mazingira.
Japo nilikua nimeanza kubainisha baadhi ya vitu kama anunue pikipiki tuweke vijana, pia ana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.