Recent content by Mivi

  1. M

    Nimemaliza 'kamshahara' ka October 2019 ndani ya siku 2

    Mimi naogopa kwenda kuutoa maana, napiga hesabu naona hesabu iko juu kuliko nachoenda kuchukua
  2. M

    Mwalimu Mkuu ajiua baada ya kutuhumiwa kufanya ubadhilifu wa fedha za ujenzi

    aisee jamaa Hana shida gani kabisa ila mkewe alikua balaa wengine walikua wanamwita roho ya simba
  3. M

    Can my text messages be retraced?

    Sorry can you tell me, how to contact with my provider, please
  4. M

    Can my text messages be retraced?

    how can i delete sms from my phone
  5. M

    Msaada wakuu

    Namanisha nawezaje kuzuia mtu.mwingine asihack simu yangu, pia kuna njia nyingine naweza kufuta sms, zote za zaman mtu akihack asizipate
  6. M

    Msaada wakuu

    Habari jaman ,naombe elimu juu ya mtu kuweza kupata mawasiliano yako,ambayo umewasiliana Mfano sms za kawaida na whasup, na nawezaje kuzuia asipate mawasiliano yangu, watu wa it mnisaidie juu ya hili
  7. M

    Mama kapata mafao, afanye biashara gani?

    samahan mkuu naomba unieleze vizuri kuhusu fixed account
  8. M

    Mama kapata mafao, afanye biashara gani?

    Mkuu anasema anaona usumbufu wa kusimamia ujenzi
  9. M

    Mama kapata mafao, afanye biashara gani?

    Habari za leo wakuu, Naomben mawazo yenu mama yangu amepata mafao ya kustaafu, ameniomba nmshauri afanyaje. Yupo maeneo ya Iringa, nimesema sehemu ili hata unapotoa ushauri uangalie na mazingira. Japo nilikua nimeanza kubainisha baadhi ya vitu kama anunue pikipiki tuweke vijana, pia ana...
  10. M

    Nitasema Ukweli Daima. Aina hii ni Takataka Type ambayo Usijaribu kudate Utaangamia.

    Wanawake tuendelee na msimamo wetu hakuna kwenda kama hajatuma nauli, pia kuepusha usumbufu piga block moja matata Saana
  11. M

    Majina ya utani ya sehemu za siri za mwanamke na mwanaume

    Umepotea njia Mkuu serious pole
Back
Top Bottom