Wale wote mnaoshabikia Vita , hakika hamjui madhara halisi ya Vita.Usiombee Vita!. Ikitokea vita ya Irani na Marekani kila mtu Dunia itamuathiri, mfano tarajia lita moja ya Petroleum kuwa Tsh 3000. Tarajia mabadiriko ya Kitabia nchi, tarajia inflation ya bidhaa kutoka usa,china,uae, nk. Ndg...