Aisee mtoa mada umenigusa sana, hata mimi huwa nikisoma magazeti attention inakuwa kwa Prezda Eddo. Cku atakapotangazwa nitasherekea sana aisee. Mungu tunaomba ututimizie ndoto yetu ya mabadiliko kupitia Eddo🙏🏿.
Propaganda za Lumumba katika ubora wao. Ccm hamna chenu tena inatosha kwa upuuzi mliofanya, Tanzania imebaki mifupa tu, minofu yote mmekula. Kwa sasa basi ni wakati wa mabadiliko LFP(Lowassa For President).
Kila kozi ni nzuri inategemea utayari wako, na nn unaona unaweza kukifanya vizuri. Ukiwa na ujuzi mzuri hata ukisomea digrii ya kumwagilia maua utapata kazi tu. usikilize moyo wako unataka nn, that's all.
Naona Dr. Kajivisha mikoba ya ukampeni meneja ya ccm. Wananchi wakikupa dhamana ya cheo, isifike mahali ukajiona ww n zaidi. CHADEMA huwezi iua kirahisi hivyo unavyofkria; Mr. Nyepesi alikuwa na nguvu kuliko ww na aliondoka na mikoba yake, na CHADEMA ikaendelea kuwepo. This is time for CHANGE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.