Nawasalimu wakuu ,Naomba msaada kujua maana ya hili kila nikiangalia saa nakutana na 49 yaani dakika 49 au 59 imekua kawaida sasa nina siku kama 4 hivi
sielewi Ina maana gani hii katika maisha yangu.
Nawasalimu wakuu ,Naomba msaada kujua maana ya hili kila nikiangalia saa nakutana na 49 yaani dakika 49 au 59 imekua kawaida sasa nina siku kama 4 hivi
sielewi Ina maana gani hii katika maisha yangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.