Recent content by Mitandio

  1. Mitandio

    JamiiForums Tanzania Magari ya Japan (Japanese used cars) za kununua 2026!

    Mkuu hua naikubali sana Toyota crown hybrid ya 2008-12 una uzoefu nayo unipe mawili matatu je inafaa kuishi nayo ile hybrid yake ?
  2. Mitandio

    JamiiForums Tanzania Pikipiki za umeme “Roam Air” kutoka Kenya, ndio mkombozi wa usafiri kipindi hiki cha mafuta bei ghali!

    Hizi pikipiki nimeziona Mwanza kule stand ya Nyamhongoro kuna dealer anaziuza tangu mwaka jana
  3. Mitandio

    JamiiForums Tanzania BMW wamezindua BMW i3 Sedan | Hii ni 3 Series ya Umeme!

    Hii bei yake inaendaje mkuu?
  4. Mitandio

    JamiiForums Tanzania Tabia ya kuweka begi dirishani kwenye daladala ili kuwahi siti inaboa sana. Ntakuja nipige mtu ngumi

    😆😆aisee ,hapo mkuu pambana tu ujipatie kausafiri hiyo adha haiwezi kuisha
  5. Mitandio

    JamiiForums Tanzania Je, magari haya yanamudu barabara zenye mchanga mwingi?

    Aisee kumbe wenye harrier wanayaendesha kigumu huku roho zinawauma sasa 6km/l mbona ni sawa ni v8 hiyo.
  6. Mitandio

    JamiiForums Tanzania Vita vya Mini Van (MPV) kutoka Japan: Ipi ni chaguo lako?

    Hiyo honda 6th generation bei itakua mkasi sana?
  7. Mitandio

    JamiiForums Tanzania Vita vya Mini Van (MPV) kutoka Japan: Ipi ni chaguo lako?

    All the way kwa alphard AH20 imekaa poa
  8. Mitandio

    JamiiForums Tanzania KERO Madereva Bajaj Nyegezi - Mwanza wanajipangia bei za juu muda wa usiku

    Wanaanza kupandisha nauli jioni tu wala sio usiku pekee hao ni kawaida yao tena ikiwepo jam ndo balaa sasa.
  9. Mitandio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jaji Mkuu wa Kenya amtaka Rais Ruto kuweka wazi ushahidi unaoonesha Mahakama ikitumika kwa Rushwa

    Kenya Kwa hili wako vizuri sio kama nchi Fulani hivi......full kusifia tu
  10. Mitandio

    JamiiForums Tanzania Tafsiri ya namba kujirudia kwenye ulimwengu wa roho

    Nawasalimu wakuu ,Naomba msaada kujua maana ya hili kila nikiangalia saa nakutana na 49 yaani dakika 49 au 59 imekua kawaida sasa nina siku kama 4 hivi sielewi Ina maana gani hii katika maisha yangu.
  11. Mitandio

    JamiiForums Tanzania Tafsiri ya namba kujirudia kwenye ulimwengu wa roho

    Nawasalimu wakuu ,Naomba msaada kujua maana ya hili kila nikiangalia saa nakutana na 49 yaani dakika 49 au 59 imekua kawaida sasa nina siku kama 4 hivi sielewi Ina maana gani hii katika maisha yangu.
  12. Mitandio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Remove sex from a relationship, women have nothing to offer. Is it true?'

    Ni kwel kabisa Sent from my 5023F using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom