Hawawezi kutoka kirahisi hivi hizo janja janja tu ukiona wameanza kusukuma agenda kama za wapinzani hapo jua Kuna upepo wanaupoza kusahaulisha yaliyotokea alafu baadae game linaendelea vilevile,nyoka ni nyoka tu hata avue gamba nashauri asiaminike hata kidogo huu ni mtego
Nawasalimu wakuu ,Naomba msaada kujua maana ya hili kila nikiangalia saa nakutana na 49 yaani dakika 49 au 59 imekua kawaida sasa nina siku kama 4 hivi
sielewi Ina maana gani hii katika maisha yangu.
Nawasalimu wakuu ,Naomba msaada kujua maana ya hili kila nikiangalia saa nakutana na 49 yaani dakika 49 au 59 imekua kawaida sasa nina siku kama 4 hivi
sielewi Ina maana gani hii katika maisha yangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.