Kwa nini yeye ndiye afanye kila jambo?
Viongozi wengine kwako wapi na wanafanya nini kuhakikisha kuwa inakuwepo tume huru ya uchaguzi?
Viongozi wote Wa upinzani wameshindwa kupeleka hili jambo mahakamani kazi ni kusema tuu kwenye vyombo vya habari... eti tunataka tume huru!! Kweli!! Kirahisi...
....amepoteza haki ya kufanya nini?
Kwa nini ni mazuzu kiasi hiki? Mnawachukuliaje hasa Watanzania, kwamba ni watu wasio na uelewa, who need decisions to be made for them??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.