Recent content by Mister mimi

  1. M

    JamiiForums Tanzania Tupia top 4 yako EPL kwa msimu wa 2025/26

    1.chelsea 2.Arsenal 3.livepool 4.tottenham ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, 5.Man city 6.Newcastle 7.aston villa 8.crystal palace 9.nottinham forest 10.man united
  2. M

    JamiiForums Tanzania Tabiri top four ya EPL msimu mpya wa mashindano 2025/26.

    1.Chelsea 2.Arsenal 3.Liverpool 4.Aston villa ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, 5.man city 6.Newcastle 7.crystal palace 8.Tottenham 9. Man utd 10.Nottingham forest
  3. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Watu maarufu walioachwa katika kinyang'anyiro cha Ubunge CCM 2025

    Wajumbe wakimpitisha tu kikeke,kakosa sana ni naibu waziri.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Aliyekuwa Tano Bora ya urais CCM 2015 ni useless 2025 hata ubunge CCM?

    Ya jana sio ya leo,na ya leo yanaweza yasiwe ya kesho.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mnataka kunambia serikali haijui kuwa Bakhressa na MO wanawalipa watu Elfu tatu mpaka elfu nne kwa siku?

    Unaongea jambo Sirius,halafu mwisho unasema unatania! Kwa hiyo serikali unayoisema, unataka ichukulieje jambo unalolisema? a)kama taarifa inayotakiwa kufanyiwa kazi? b)utani kama ulivyo utani mwingine?
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kwa zama hizi tulizopo urithi wa mashamba na mifugo umeshapitwa na wakati , kwa sasa mtoto wako kama hajui teknolojia ataendelea kuwa mtumwa .!

    1.Kwahiyo mtakula tekinolojia? 2.wewe unayeijua tekinolojia na msukuma asiyeijua tekinolojia, lakini ana hekta zake 50 za kulima mpunga na ana ng'ombe 120 huko shinyangah! kati ya wewe mwenye simat fon,na vits ya mkopo,unayeishi kwenye nyuma ya kupanga na huyo mkulima,NANI ANAISHI KWA UHURU?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Papa wa njaa 55 akisaidiwa na mzee wa msoga wanasukuma kete kwa makini sana ili kuiua chàdema

    Umesema hizi ni nyakati za ukombozi,na chauma ni chama cha ukombozi wa umma. Nimevurugwa kidogo hapa!
  8. M

    JamiiForums Tanzania Klabu ya Simba yathibitisha mechi ya Fainali ya CAF kuchezwa Zanzibar

    Viongozi walikua wanajua uwanja utakaotumika.maana wao ndio waliouchagua uwanja wa amani na kuitaarifu CAF,baada ya wa mkapa kushuka kiwango. Zingine zilikua ni siasa kama zilivyo siasa za mpira wetu siku zote.
  9. M

    JamiiForums Tanzania UCHAWI: Ongezeko la paka kukatwa mikia

    Utapourudia utafiti wako tena,uwe unapiga picha za kuambatanisha kwenye maelezo yako,ili iwe rahisi kuaminika kwa unachokisema.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Uganda Yagundua Hifadhi ya Dhahabu Yenye Thamani ya Dola za Marekani Trilioni 12.

    Sawa,ila fuatilia ujue katika hiyo trillion 12 ,Uganda itachukua asilimia ngapi,na mwekezaji (kampuni ya uchimbaji) otachukua % ngapi? Maana usisahau Uganda ipo bara la Africa,na utaratibu unaeleweka!
  11. M

    JamiiForums Tanzania Video: Kuna Jambo Halipo Sawa Hapa, Either Tumekosa Uelekeo Au Uelekeo Umetukosa Sisi. Hii Ni Dharau Kubwa Sana

    Wala hakuna shida hapo! Hata wewe ukitaka huduma ya escort,polisi watakupatia.kikubwa ukidhi watakayokuambia tu!
  12. M

    JamiiForums Tanzania Nipigwe ban Simba akiambulia point hata moja Leo

    Umeshaukimbia mtego uliojitegea mwenyewe.huwezi kupigwa ban maana hatua hii hawashindanii point tena bali kombe!
  13. M

    JamiiForums Tanzania Video: Jinsi makomandoo na Walinzi wa mfalme Saudia walivyomuandalia Trump na MBS kahawa

    Marekani na Saudi ni marafiki wa faida kama ilivyo marekani na uingereza.kwahiyo bila shaka wapo kujadili urafiki wao mzuri baina yao.acha washushie na gahawaa!!!
  14. M

    JamiiForums Tanzania Hijab ni vazi la kidini au utamaduni wa kiarabu?

    Mimi nilikua najaribu tu kujibu swali ulilouliza kuhusu hijabu,na nimejibu kwa uelewa wangu! Kwamba je ni vazi la kidini au kitamaduni? Hayo ya Tajikistan hayakuwa sehemu ya swali na vile vile sina ufahamu nayo,wenye ufahamu nayo watatusaidai hapa.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Hijab ni vazi la kidini au utamaduni wa kiarabu?

    Hijabu ni vazi linalofunika kichwa na kifua cha mwanamke. huchukuliwa kama sehemu ya vazi la staha kwa wanawake. Kwa mwanawake wa kiislam ni lazima avae hijabu,anapokua mbele ya mwanamume yeyote ambaye si mume wake,lakini anaweza kumuoa kisheria.na si lazima avae hijabu anapokuwa na ndugu zake...
Back
Top Bottom