Unaongea jambo Sirius,halafu mwisho unasema unatania! Kwa hiyo serikali unayoisema, unataka ichukulieje jambo unalolisema?
a)kama taarifa inayotakiwa kufanyiwa kazi?
b)utani kama ulivyo utani mwingine?
1.Kwahiyo mtakula tekinolojia?
2.wewe unayeijua tekinolojia na msukuma asiyeijua tekinolojia, lakini ana hekta zake 50 za kulima mpunga na ana ng'ombe 120 huko shinyangah!
kati ya wewe mwenye simat fon,na vits ya mkopo,unayeishi kwenye nyuma ya kupanga na huyo mkulima,NANI ANAISHI KWA UHURU?
Viongozi walikua wanajua uwanja utakaotumika.maana wao ndio waliouchagua uwanja wa amani na kuitaarifu CAF,baada ya wa mkapa kushuka kiwango.
Zingine zilikua ni siasa kama zilivyo siasa za mpira wetu siku zote.
Sawa,ila fuatilia ujue katika hiyo trillion 12 ,Uganda itachukua asilimia ngapi,na mwekezaji (kampuni ya uchimbaji) otachukua % ngapi? Maana usisahau Uganda ipo bara la Africa,na utaratibu unaeleweka!
Marekani na Saudi ni marafiki wa faida kama ilivyo marekani na uingereza.kwahiyo bila shaka wapo kujadili urafiki wao mzuri baina yao.acha washushie na gahawaa!!!
Mimi nilikua najaribu tu kujibu swali ulilouliza kuhusu hijabu,na nimejibu kwa uelewa wangu! Kwamba je ni vazi la kidini au kitamaduni?
Hayo ya Tajikistan hayakuwa sehemu ya swali na vile vile sina ufahamu nayo,wenye ufahamu nayo watatusaidai hapa.
Hijabu ni vazi linalofunika kichwa na kifua cha
mwanamke.
huchukuliwa kama sehemu ya vazi la staha kwa wanawake.
Kwa mwanawake wa kiislam ni lazima avae hijabu,anapokua mbele ya mwanamume yeyote ambaye si mume wake,lakini anaweza kumuoa kisheria.na si lazima avae hijabu anapokuwa na ndugu zake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.