Recent content by Mister 4G

  1. Mister 4G

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna vigezo gani ili ushiriki kwenye tuzo kubwa kama MTV, Afrimma

    Habarini za saa hizi ndugu zangu!! Natumai afya zenu ziko salama kabisa Ngoja niende tu moja kwa moja kwenye mada husika. Hili swali linanipaga utata kidogo maana naonaga tu akina fulani wametajwa kwenye kipengele fulani wengine wanaachwa sasa mnielimishe inakuwaje hasa. Samahani kwa...
  2. Mister 4G

    JamiiForums Tanzania Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

    Vitabu vyote hivyo vilitakiwa kufungwa kifungo cha maisha kabisa maana havieleweki kabisa Soma Mwanzo 3:1-5,3:22 utueleze nini walimaanisha Quran sijui mara hadithi sijui hizi ni sahihi mara hizi ni dhaifu yaani mmekariri tu ila hamna kitu
  3. Mister 4G

    JamiiForums Tanzania Huko Mbinguni tutaonana na Mungu uso kwa uso au atakuwa bado anajificha?

    Mwanadamu hawezi kuwa mfano wa shetani cz binadamu kaumbwa kwa mfano wa mungu over
  4. Mister 4G

    JamiiForums Tanzania Huko Mbinguni tutaonana na Mungu uso kwa uso au atakuwa bado anajificha?

    Tunaenda mbinguni kwani duniani kuna shida gani au tatizo gani
  5. Mister 4G

    JamiiForums Tanzania Vitu gani kwa wengi ni vya kawaida ila kwako sio vya kawaida

    Napenda mziki kuliko kila kitu Sipendi kuamshwa nikiwa nimelala Siendagi kuangalia mpira wowote ule Kuomba omba namba za simu Sipendi kuchat kwa sms
  6. Mister 4G

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Kwangu 9.9 billion Iris A man called god
  7. Mister 4G

    JamiiForums Tanzania Kumi bora yangu ya wakati wote ya nyimbo kali za muziki wa Congo

    Kumuacha flamme kapaya na japonnais maladi bila kumsahau Sarah solo ni dhambi kama dhambi zingine tu mkuu kawasikilize vizuri kisha umtoe kimbangu kwenye list hiyo
  8. Mister 4G

    JamiiForums Tanzania Kumi bora yangu ya wakati wote ya nyimbo kali za muziki wa Congo

    Passion d’avril 3eme doigt (humu jamaa kaimba matusi mkuu 3eme doigt maana yake dole la kati) Ila nenda kasikilize michel panzu (je t’attends) iko Poa sana
  9. Mister 4G

    JamiiForums Tanzania Kumi bora yangu ya wakati wote ya nyimbo kali za muziki wa Congo

    Mkuu sikiliza Nairobi ya mwanamama mbilia bel uje kunishukuru baadaye
  10. Mister 4G

    JamiiForums Tanzania Kumi bora yangu ya wakati wote ya nyimbo kali za muziki wa Congo

    Destin ya moto huu ni moto mwingine
  11. Mister 4G

    JamiiForums Tanzania Kumi bora yangu ya wakati wote ya nyimbo kali za muziki wa Congo

    Sikiliza na A Flayé utakuja kunishukuru [emoji120]
  12. Mister 4G

    JamiiForums Tanzania Kumi bora yangu ya wakati wote ya nyimbo kali za muziki wa Congo

    Kisha jazia na vieux Sammy
  13. Mister 4G

    JamiiForums Tanzania Hey

    Naitwa Raston4G mnipokee wakuu
  14. Mister 4G

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni jinsi ya kutibu PID

    Asante sana mkuu maana hili limekuwa changamoto aise
  15. Mister 4G

    JamiiForums Tanzania Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Shida mke wangu ametibiwa pid ila haiishi unamsaidiaje
Back
Top Bottom