Recent content by missnyakanazi

  1. M

    Jamani tunaelekea wapi...??

    Mmhh aisee pole sana, mama Wa kambo c mama jaman japo c wote.
  2. M

    Jamani tunaelekea wapi...??

    Mmhh umetisha...take care ucje ozea gerezani.
  3. M

    Jamani tunaelekea wapi...??

    Acha kukariri basi me cna KBS damu ya kiha nimelipenda tu hilo jina
  4. M

    Jamani tunaelekea wapi...??

    Picha hiyo hapo..
  5. M

    Jamani tunaelekea wapi...??

    Unaweza kuimagine mtoto mdogo kama huyu amekamatwa uume wake na mama wa kambo eti kisa anakojoa sana? Wanaume punguzeni kuoa na kuacha especially kama unajijua una watoto wadogo. Wanawake siku hizi wamekuwa kama wanyama, huyu mtoto unafikiri ataishije ukubwani jamani! Nimeumia sana!
  6. M

    Wadada kuchomekea gauni kwenye chupi !

    Nooo....ni mawazo potofu tu me nnavyojua wadada hufanya vile kwa ajili ya urefu Wa nguo zenyewe zinakuwa zinagusa chini kwa hiyo solution n kuichomeka kdg ili aweze kutembea vizuri
  7. M

    Wako wapi watu hawa?

    Wapi swebe....
  8. M

    Tunajifunza nini kutokana na msiba wa Fidel Castro Odinga

    C utani kijana amezikwa.....apumzike kwa amani
Back
Top Bottom