Unaweza kuimagine mtoto mdogo kama huyu amekamatwa uume wake na mama wa kambo eti kisa anakojoa sana? Wanaume punguzeni kuoa na kuacha especially kama unajijua una watoto wadogo. Wanawake siku hizi wamekuwa kama wanyama, huyu mtoto unafikiri ataishije ukubwani jamani!
Nimeumia sana!
Nooo....ni mawazo potofu tu me nnavyojua wadada hufanya vile kwa ajili ya urefu Wa nguo zenyewe zinakuwa zinagusa chini kwa hiyo solution n kuichomeka kdg ili aweze kutembea vizuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.