Jamani tunaelekea wapi...??

Jamani tunaelekea wapi...??

superstar1

Kama yupo mweleze ukweli na usimwache aendelee kuunyanyasa moyo wako ila KISASI LAZIMAAAAAA
 
Last edited by a moderator:
bado mdogo huyo itaota tena

Samahani hili nitusi lakawaida wewe ni mbwa tena naukoo wako mbwa nguruwe pori na ukijibu wewe ningamia tena wajangwani mchawi mkubwa wewe
Yaani mtoto kakatwa uume unasema utaota wewe ni shetani tena ulitakiwa kupigwa mame hadi kufa mjinga sana wewe
 
missnyakanazi

Ha ha haaa. Unadhani mama wa kambo alinifanya mazuri basi? Yaani maskini ya mungu mi sijui hata kosa nililomfanyia (I was only 5 years old), nashinda na njaa wakati ndani kuna chakula cha kutosha. Wanapewa majirani vingine vinamwagwa, mi nashinda na njaa mdomo umekaukaaaaa! Siku mshua akirudi ndio napewa kipande cha nyama cha kuzuga.

Akiondoka kesho yake napikiwa maharage ya kula hata siku nne (sikumbuki kama hata chumvi yalikuwa yanawekwa yale), na nakula jioni tu, mchana napigishwa pasi ndefu wakati mdingi ana mahela kibao, kila akirudi vyakula vya kutosha vinaletwa home, hasa nyama za porini. Nimepiga hizo since 5 years old mpaka std 7. Acheni utani nyie watu.

Siku njaa ikanizidia nikadokoa nyama motoni ambayo alikuwa anamuandalia mwanawe, weeeee! Alinitandika mpaka nika-faint nilipozinduka (hapa sasa ndio patasababisha nikill mwanamke), akanishika mdomo wangu akauachanisha akanitemea mate ya kutosha humo, sijui yalikuwa makohozi yale (ghrrrrrrr!). Siwezi sahau.

Ningekuwa mkubwa labda ningechukulia ni denda tu nikapotezea, sasa nilikuwa std 3 tu jamani.

Mmhh aisee pole sana, mama Wa kambo c mama jaman japo c wote.
 
Last edited by a moderator:
missnyakanazi

Ha ha haaa. Unadhani mama wa kambo alinifanya mazuri basi? Yaani maskini ya mungu mi sijui hata kosa nililomfanyia (I was only 5 years old), nashinda na njaa wakati ndani kuna chakula cha kutosha. Wanapewa majirani vingine vinamwagwa, mi nashinda na njaa mdomo umekaukaaaaa! Siku mshua akirudi ndio napewa kipande cha nyama cha kuzuga.

Akiondoka kesho yake napikiwa maharage ya kula hata siku nne (sikumbuki kama hata chumvi yalikuwa yanawekwa yale), na nakula jioni tu, mchana napigishwa pasi ndefu wakati mdingi ana mahela kibao, kila akirudi vyakula vya kutosha vinaletwa home, hasa nyama za porini. Nimepiga hizo since 5 years old mpaka std 7. Acheni utani nyie watu.

Siku njaa ikanizidia nikadokoa nyama motoni ambayo alikuwa anamuandalia mwanawe, weeeee! Alinitandika mpaka nika-faint nilipozinduka (hapa sasa ndio patasababisha nikill mwanamke), akanishika mdomo wangu akauachanisha akanitemea mate ya kutosha humo, sijui yalikuwa makohozi yale (ghrrrrrrr!). Siwezi sahau.

Ningekuwa mkubwa labda ningechukulia ni denda tu nikapotezea, sasa nilikuwa std 3 tu jamani.

Duuh pole sana if is realy truth..inasikitisha sana kwa sisi tuliobahatika kulelewa na mama zetu ni ngumu kuamini.But haya mambo yapo
 
missnyakanazi

Ha ha haaa. Unadhani mama wa kambo alinifanya mazuri basi? Yaani maskini ya mungu mi sijui hata kosa nililomfanyia (I was only 5 years old), nashinda na njaa wakati ndani kuna chakula cha kutosha. Wanapewa majirani vingine vinamwagwa, mi nashinda na njaa mdomo umekaukaaaaa! Siku mshua akirudi ndio napewa kipande cha nyama cha kuzuga.

Nimesononeka sana mshukuru Mungu kwa kukulinda ukakua salama,bado yupogo huyo mama?

Akiondoka kesho yake napikiwa maharage ya kula hata siku nne (sikumbuki kama hata chumvi yalikuwa yanawekwa yale), na nakula jioni tu, mchana napigishwa pasi ndefu wakati mdingi ana mahela kibao, kila akirudi vyakula vya kutosha vinaletwa home, hasa nyama za porini. Nimepiga hizo since 5 years old mpaka std 7. Acheni utani nyie watu.

Siku njaa ikanizidia nikadokoa nyama motoni ambayo alikuwa anamuandalia mwanawe, weeeee! Alinitandika mpaka nika
 
missnyakanazi

Ha ha haaa. Unadhani mama wa kambo alinifanya mazuri basi? Yaani maskini ya mungu mi sijui hata kosa nililomfanyia (I was only 5 years old), nashinda na njaa wakati ndani kuna chakula cha kutosha. Wanapewa majirani vingine vinamwagwa, mi nashinda na njaa mdomo umekaukaaaaa! Siku mshua akirudi ndio napewa kipande cha nyama cha kuzuga.

Nimesononeka sana mshukuru Mungu kwa kukulinda ukakua salama,bado yupogo huyo mama?

Akiondoka kesho yake napikiwa maharage ya kula hata siku nne (sikumbuki kama hata chumvi yalikuwa yanawekwa yale), na nakula jioni tu, mchana napigishwa pasi ndefu wakati mdingi ana mahela kibao, kila akirudi vyakula vya kutosha vinaletwa home, hasa nyama za porini. Nimepiga hizo since 5 years old mpaka std 7. Acheni utani nyie watu.

Siku njaa ikanizidia nikadokoa nyama motoni ambayo alikuwa anamuandalia mwanawe, weeeee! Alinitandika mpaka nika


Hayupo alishafariki in 1995. Kipindi ananifanyia hivyo ni kati ya 1977 - 1988 coz 1989 nikaanza form 1 boarding nikawa nimeachana na mateso. I am in my 40s now, babu kabisa!!
 
superstar1

Ni vizuri ukamuue huyo mama yako wa kambo na uache wanawake wengine. Na baba yako pia umuue maana how come unakuja unabwaga mavyakula pesa bila kufuatilia? How come hakai karibu na mtoto kujua shida za mtoto wake? Ukishawauwa hao usubiri kipigo toka kwa Mungu, hapo ndio utajiuliza ulilaaniwa before hata uzaliwe utakuwa ni mtu wa mikosi tu.

Hakuna kitu kizuri kama kusamehe na utaona mambo yako yananyooka kwa sababu ulifungua moyo wako na kusamehe

True!! Ngoja nisamehe tu! Hata hivyo wote wawili walishafariki kitambo.
 
ndio maana watu wanapiga wake zao sema ndio hivyo tz mwanamke akiguswa tu hata kofi moja kesi tayari ... uuuuwi hahisi harufu ya segerea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom