Recent content by MissL

  1. MissL

    Sijaoa nimechoshwa na kazi za ndani natafuta msichana wa kazi wa kumlipa

    Nakushauri pia tafuta kijana was kiume akusaidie hizo kazi za ndani ako wengi tu. Na ukitaka wa kike basi mchukue ndugu yako kijijini ambaye atakuheshimu kama ndugu yake lkn usichukue ilimradi msichana ni parefu hapa mpaka ukaoe 2020 huwezi jua hapa katikati patatokea nini, wasichana...
  2. MissL

    Mdada natafuta nafasi ya kazi

    :rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes: mhhhhhhhhhh
  3. MissL

    Mdada natafuta nafasi ya kazi

    ANGALIZO: Humu ndani tunatafuta kazi sio mapenzi/Wapenzi. Ujumbe unahusu kazi wewe unaleta mapenzi kila kitu kinasehemu yakeee. Kama wewe binafsi unashindwa kutoa ushauri au maoni yako basis acha kuandika ujumbe wowote sio lazima utume ujumbe kwa mtu yeyote Mara niPM Mara nitumie picha Mara...
  4. MissL

    Mdada natafuta nafasi ya kazi

    Unahitaji wewe mwenyewe au kuna MTU unamtafutiaaa
  5. MissL

    Nani alianzisha dhehebu la Mashahidi wa Yehova?

    Wanaitwa kwa jina hilo cuz ukisoma isaya 42:8, zaburi 83:18 linataja jina LA mungu na ile isaya 43:10-12 mungu anawatambulisha kuitw kwa jina lake
  6. MissL

    Nani alianzisha dhehebu la Mashahidi wa Yehova?

    Nimesababu sana na mashahidi yeah kuhusu kutiwa damu mishipani kwamba mungu anakataza damu kwa sababu damu no uhai toka kipindi cha wana was Israel walikatazwa ( lawi 17:14, 7:26-27. Mwanzo 9:3,4,16) mpka Leo tunakatazwa ( matendo 15:28,29. 21:25) Kuhusu kurithi majumba biblia inasema kwa wakati...
  7. MissL

    Mdada natafuta nafasi ya kazi

    Natumai mu wazima!! Nina mdogo wangu anaitwa stela ana uzoefu mzuri wa mwaka 1 wa huduma za uwakala (mpesa,tigo pesa na kusajili line) anatafuta kazi. Mwenye uhitaji apige no. 0687598519. Asanteeeeen
  8. MissL

    Mdada natafuta nafasi ya kazi

    Ngoja nikupe namba yakeeee
  9. MissL

    Mdada natafuta nafasi ya kazi

    nimeolewa na ninapata huduma zote ila si unajua tena maisha in kusaidiana. Mm binafsi zijazoea kukaa tu nyumbani napenda kujishughulisha mda niliokaa nyumbani unatosha kilichibaki hapa ni kazi tu ' upo hapo babangu Mhhhhh
  10. MissL

    Mdada natafuta nafasi ya kazi

    Yap meeeen
  11. MissL

    Mdada natafuta nafasi ya kazi

    Ataweza ni mdogowangu anaipenda sana kazi ya wakala na anauzoefu nayooo let's namba ya hiyo jamaa
  12. MissL

    Mdada natafuta nafasi ya kazi

    :oops::oops::oops: kimyaaaaaa :):):)
  13. MissL

    Msichana wa M-PESA anatakiwa

    Umeshapata mtuuu??
  14. MissL

    Mdada wa saluni anahitajika

    Hiyo saluni iko wapi?? Nina mdogowangu Ila yy anakaa bigbrother
  15. MissL

    Mdada natafuta nafasi ya kazi

    Poa:):)
Back
Top Bottom