Mkuu umeweka assumptions ambazo hazina uhalisia hapo umeassume kuwa wife atalala na jamaa atapata mimba itaishia hapo lakin uhalisia kama wife atapata ladha ambayo wewe hukuwahi kumpa lazima ataendelea na jamaa
What if akienda lala na uyo rafiki yako na mimba asipate,,,pia what if akilala na ndugu yake na mimba asipate....what if akalala na mmoja wapo then ukawa umezidiwa ujuzi mkeo akadata huko akashindwa kumuacha uyo mtu wa 3 na mapenzi yakahamia huko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.