Recent content by Miss_Mariaah

  1. M

    JamiiForums Tanzania Sitokaa nihudhurie tena kwenye harusi ya dada au ndugu wa karibu upande wa kike

    Wengine hua wana deep kiss kabisa
  2. M

    JamiiForums Tanzania Sitokaa nihudhurie tena kwenye harusi ya dada au ndugu wa karibu upande wa kike

    Hao walikoswa hekima
  3. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaishije na mwenza mwenye tabia ngumu?

    Sema sasa kununiwa inauma
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaishije na mwenza mwenye tabia ngumu?

    Ni tabia ya kununa muda mrefu mnapokosana
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaishije na mwenza mwenye tabia ngumu?

    Ahsante sana mkuu
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaishije na mwenza mwenye tabia ngumu?

    Unafeel impact yake mfano ukinuniwa na mwanamke wako umpendaye 3 weeks utajskiaje
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaishije na mwenza mwenye tabia ngumu?

    Mi changamoto sema kumuacha sitaki
  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaishije na mwenza mwenye tabia ngumu?

    Ni long distance relationship
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaishije na mwenza mwenye tabia ngumu?

    Ubaya ni long distance relationship
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaishije na mwenza mwenye tabia ngumu?

    Early 30s
  11. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaishije na mwenza mwenye tabia ngumu?

    Kutotaka mjadala mfano umeskia tetesi ukija kumuuliza ye anakimbilia kununa
  12. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaishije na mwenza mwenye tabia ngumu?

    Week 3 mtu akununie useme hujampenda kivipi hapo.....na kwann ufurahi mwenzio akinuna
  13. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaishije na mwenza mwenye tabia ngumu?

    Ukimya uliopitiliza
  14. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaishije na mwenza mwenye tabia ngumu?

    Upendo upo ila kuna tabia zimaudhi mfano mtu mkikosana anakununia hata week 3
  15. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaishije na mwenza mwenye tabia ngumu?

    Hello wakuuu Tupeane mbinu mnaishije na mwenza au mpenzi mwenye tabia ngumu ambapo unakuta io tabia inakukera au zinakukera sana na umejaribu kuongea nae mara kwa mara lakini haachi,,,na unakuta unampenda ila hiyo tabia ndo inakukwaza sana
Back
Top Bottom