Recent content by Miss un

  1. Miss un

    Nimeingia matatani: Muhudumu wa bar ana mimba yangu

    Inauma sana mkuu,tena sana
  2. Miss un

    Nina wanaume watatu nilio nao kwenye mahusiano. Nimchague yupi?

    Yaani kisaikolojia ume fall kwa hao wanaume wawili kwa sababu ya hela,lakini huyo kijana single kwa sababu ndo anaanza life unataka afanye jinsi hao watatu wanafanya,na hata akifanya hakionekani ni kama machozi ya samaki baharini hayaonekani,Cha msingi hapo,usikubali zaa na mwanaume wa MTU,jua...
  3. Miss un

    Jinsi ya kuunganisha namba ya simu.

    Unachukua simu ya mhusika unadownload kutoka Google app inaitwa,mobile tracker, unasajili vitu utakavyoonyeshwa alafu utaweka e-mail yako na password. Baada ya hapo umemaliza.Utachukua PC au simu yako una login(unaandika mobile tracker free login in unaandika email na password unaanza kuona kila...
  4. Miss un

    Mpenzi wangu anasema kama sitomuoa mwezi wa kumi na mbili anajua cha kufanya

    Jambo linalosababisha ni la kisaikolojia kutokana na historia yake,ya mahusiano,huenda alishawahi kupotezewa muda,ndio maana hataki muda uende akiwa na mtu ambaye hajui au haamini kama ni kweli au ni walewale.Cha kufanya hapo ni kumchange mind yake,na usimpotezee, ww ongea naye. Na kuhusu kuona...
  5. Miss un

    Ndugu yangu ana tatizo la kubeba ujauzito na kuharibika

    Kuhusu kupima blood disorder, umemaanisha mume wake na yeye wapime wote ,
  6. Miss un

    Ndugu yangu ana tatizo la kubeba ujauzito na kuharibika

    Habari, Madaktari na wakuu wa jukwaa hili nina ndugu yangu (22), kaolewa 2016 August ana tatizo la kubeba ujauzito na kuharibika, alibeba ujauzito kufikia miezi minne ukaharibika,akabeba tena miezi kadhaa hivyohivyo. Lakini huu wa mwisho ulifikisha hadi miezi 9 ya kujifungua, lakini kajifungua...
  7. Miss un

    Warembo wananikataa, sijajua nakosea wapi I'm really stressed up

    Naona tatizo liko katika aina ya wanawake unao kuna nao,wengine unakuta wana watu wao,pia wanaona huja match kuwa husband kwao kutokana na status zao,maan wanawake wanaojiona wa status huwa wanaangalia juu,kupata wa status zaidi yao,Pia hata kama sivyo,ukipata huyo msichana,wengi huwa wanapend...
Back
Top Bottom