Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 6,515
- 11,034
ikimbie zinaa
Una hakika mlengwa yumo humu asome ujumbe wake?Linapokuja suala la mahusiano, wengi wetu tumeshawahi kutendwa, kusalitiwa, kupigwa kibuti, kuchunwa na kuachwa solemba na mengine yanayofanana na hayo. Katika kuishi kwangu, nimegundua hilo siyo tatizo kabisa, ni kawaida sana na ni sehemu ya maisha. Wengi wetu tunashindwa kuhimili msongo unaotokana na hali hiyo, wengine huvuka mipaka hata kwenda kumdhuru mtu, kuua au kujiua. Katika hali kama hiyo, ni vyema sana ukamwamini Mungu sana na ndo kipindi cha kumshikilia sana Mungu, hujui ni kitu gani Mungu amekuandalia mbeleni kwa ajili yako na huyo mtu wako.
Mwaka 2002, nikiwa najiunga na chuo kikuu mlimani nilipata kufahamiana na dada moja, kwa mwonekano wa nje alionyesha kunipenda sana. Kipindi hicho mimi hata sijawahi kulala na mwanamke, sijui mapenzi yana rangi gani wala shape..... nikaingia kichwa kichwa... Nakumbuka nililala nae mara moja tuu. wiki iliyofuata rafiki zangu wakawa wananipa story, tukiwa pale Mabibo... day 1.. wananiambia wamemwona kuna jamaa kaja kumchukua na gari chuo..... Day 2... hivyo tena.. Day 3... Wamemwona disco na jamaa.... Nikachoka. Wakati huo na ushamba wangu na ulokole wangu aaah, sijui club wala disco, alafu yeye nikionana naye anajifanya mlokole sana. Daaaah, roho iliniuma sana.
Ikafika siku nikamfanyia surprise nikakuta madudu ya kutisha kwenye simu yake. Baada ya hapo tuligombana sana. Kilichoniuma alinitukana sana na kunidhalilisha sana. Kimsingi niligundua ni umaskini wangu ndo kisa cha kufanyiwa yote haya, na akatamka kabisa, "wee mwanaume au mvulana.... kauka nikuvae utanipa nini..". Niliumia nililia, nikawa nashinda kusikiliza nyimbo za gospel kwaya.
Maisha yakasonga, tukamaliza chuo. Sikumtukana wala kumfanyia kitu mbaya. Nikapata kazi, naye akapata kazi. Mungu si Athumani mimi nilipata kazi nzuri kuliko yeye. Baada ya hilo, nikaoa. Siku moja tukakutana tena chuoni UDSM 2008 nasoma masters. Daaah, akanishangaa sana, nimebadilika, nimependeza, na picha ya familia yangu na mtoto.... Roho ikamuuma sana, tena alivyo mropokaji akatamka kabisa kujuta kunipoteza.
Hapo yeye bado hajaolewa. To make story short, alikuja kuolewa baadaye sana kwa kuchelewa, i think 2011 ndo aliolewa. Ajabu ni kuwa mwaka huu 2018 amenikomalia sana kila wakati anataka tuonane, twende outings, nikajifanya mjinga kumkubalia... Akanipa wazo tupange chumba hapa Dar mimi na yeye tutakuwa tunakwenda kugegedana atakuwa anatoroka job, then jioni anarudi kwake.......
Duuuh, kweli dunia tambara mbovu.
Over my dead body... Miaka 16 imepita tangu unitukane na kunidhalilisha, leo unaona mimi wa thamani siyo? Umekuwa used and overused, leo unaniletea makapi kama siyo bwawa siyo? Wanawake kuweni na huruma basi.
Kauli za style hii zinaharibu wengi sana.Watu inabidi wajifunze kujijali wao kwanza bila kujali wanaowazunguka watawaonaje.Wenzako watakuona sio kidume
HahahaNapenda wanavyosimulia walokole, 'nikakutana na vitu vya kutisha kwenye simu yake'. Siajabu ni sms tu
Angalia,usije kuwa unaenda kuambukizwa VIRUSI VYA UKIMWI,maana binadamu wana roho mbaya kuliko unavyoweza kudhani!Linapokuja suala la mahusiano, wengi wetu tumeshawahi kutendwa, kusalitiwa, kupigwa kibuti, kuchunwa na kuachwa solemba na mengine yanayofanana na hayo. Katika kuishi kwangu, nimegundua hilo siyo tatizo kabisa, ni kawaida sana na ni sehemu ya maisha. Wengi wetu tunashindwa kuhimili msongo unaotokana na hali hiyo, wengine huvuka mipaka hata kwenda kumdhuru mtu, kuua au kujiua. Katika hali kama hiyo, ni vyema sana ukamwamini Mungu sana na ndo kipindi cha kumshikilia sana Mungu, hujui ni kitu gani Mungu amekuandalia mbeleni kwa ajili yako na huyo mtu wako.
Mwaka 2002, nikiwa najiunga na chuo kikuu mlimani nilipata kufahamiana na dada moja, kwa mwonekano wa nje alionyesha kunipenda sana. Kipindi hicho mimi hata sijawahi kulala na mwanamke, sijui mapenzi yana rangi gani wala shape..... nikaingia kichwa kichwa... Nakumbuka nililala nae mara moja tuu. wiki iliyofuata rafiki zangu wakawa wananipa story, tukiwa pale Mabibo... day 1.. wananiambia wamemwona kuna jamaa kaja kumchukua na gari chuo..... Day 2... hivyo tena.. Day 3... Wamemwona disco na jamaa.... Nikachoka. Wakati huo na ushamba wangu na ulokole wangu aaah, sijui club wala disco, alafu yeye nikionana naye anajifanya mlokole sana. Daaaah, roho iliniuma sana.
Ikafika siku nikamfanyia surprise nikakuta madudu ya kutisha kwenye simu yake. Baada ya hapo tuligombana sana. Kilichoniuma alinitukana sana na kunidhalilisha sana. Kimsingi niligundua ni umaskini wangu ndo kisa cha kufanyiwa yote haya, na akatamka kabisa, "wee mwanaume au mvulana.... kauka nikuvae utanipa nini..". Niliumia nililia, nikawa nashinda kusikiliza nyimbo za gospel kwaya.
Maisha yakasonga, tukamaliza chuo. Sikumtukana wala kumfanyia kitu mbaya. Nikapata kazi, naye akapata kazi. Mungu si Athumani mimi nilipata kazi nzuri kuliko yeye. Baada ya hilo, nikaoa. Siku moja tukakutana tena chuoni UDSM 2008 nasoma masters. Daaah, akanishangaa sana, nimebadilika, nimependeza, na picha ya familia yangu na mtoto.... Roho ikamuuma sana, tena alivyo mropokaji akatamka kabisa kujuta kunipoteza.
Hapo yeye bado hajaolewa. To make story short, alikuja kuolewa baadaye sana kwa kuchelewa, i think 2011 ndo aliolewa. Ajabu ni kuwa mwaka huu 2018 amenikomalia sana kila wakati anataka tuonane, twende outings, nikajifanya mjinga kumkubalia... Akanipa wazo tupange chumba hapa Dar mimi na yeye tutakuwa tunakwenda kugegedana atakuwa anatoroka job, then jioni anarudi kwake.......
Duuuh, kweli dunia tambara mbovu.
Over my dead body... Miaka 16 imepita tangu unitukane na kunidhalilisha, leo unaona mimi wa thamani siyo? Umekuwa used and overused, leo unaniletea makapi kama siyo bwawa siyo? Wanawake kuweni na huruma basi.
Mwambie asikuone wa "dhamani" eeeh!Linapokuja suala la mahusiano, wengi wetu tumeshawahi kutendwa, kusalitiwa, kupigwa kibuti, kuchunwa na kuachwa solemba na mengine yanayofanana na hayo. Katika kuishi kwangu, nimegundua hilo siyo tatizo kabisa, ni kawaida sana na ni sehemu ya maisha. Wengi wetu tunashindwa kuhimili msongo unaotokana na hali hiyo, wengine huvuka mipaka hata kwenda kumdhuru mtu, kuua au kujiua. Katika hali kama hiyo, ni vyema sana ukamwamini Mungu sana na ndo kipindi cha kumshikilia sana Mungu, hujui ni kitu gani Mungu amekuandalia mbeleni kwa ajili yako na huyo mtu wako.
Mwaka 2002, nikiwa najiunga na chuo kikuu mlimani nilipata kufahamiana na dada moja, kwa mwonekano wa nje alionyesha kunipenda sana kipindi hicho mimi hata sijawahi kulala na mwanamke, sijui mapenzi yana rangi gani wala shape nikaingia kichwa kichwa nakumbuka nililala nae mara moja tuu wiki iliyofuata rafiki zangu wakawa wananipa story, tukiwa pale Mabibo. day 1.. wananiambia wamemwona kuna jamaa kaja kumchukua na gari chuo..... Day 2... hivyo tena.. Day 3... Wamemwona disco na jamaa nikachoka. Wakati huo na ushamba wangu na ulokole wangu aaah, sijui club wala disco, alafu yeye nikionana naye anajifanya mlokole sana daaaah, roho iliniuma sana.
Ikafika siku nikamfanyia surprise nikakuta madudu ya kutisha kwenye simu yake baada ya hapo tuligombana sana. kilichoniuma alinitukana sana na kunidhalilisha sana kimsingi niligundua ni umaskini wangu ndo kisa cha kufanyiwa yote haya, na akatamka kabisa, "wee mwanaume au mvulana.... kauka nikuvae utanipa nini..". niliumia nililia, nikawa nashinda kusikiliza nyimbo za gospel kwaya.
Maisha yakasonga, tukamaliza chuo sikumtukana wala kumfanyia kitu mbaya nikapata kazi, naye akapata kazi Mungu si Athumani mimi nilipata kazi nzuri kuliko yeye baada ya hilo, nikaoa siku moja tukakutana tena chuoni UDSM 2008 nasoma masters. Daaah, akanishangaa sana, nimebadilika, nimependeza, na picha ya familia yangu na mtoto roho ikamuuma sana, tena alivyo mropokaji akatamka kabisa kujuta kunipoteza.
Hapo yeye bado hajaolewa. To make story short, alikuja kuolewa baadaye sana kwa kuchelewa, i think 2011 ndo aliolewa. ajabu ni kuwa mwaka huu 2018 amenikomalia sana kila wakati anataka tuonane, twende outings, nikajifanya mjinga kumkubalia akanipa wazo tupange chumba hapa Dar mimi na yeye tutakuwa tunakwenda kugegedana atakuwa anatoroka job, then jioni anarudi kwake.
Duuuh, kweli dunia tambara mbovu.
Over my dead body... Miaka 16 imepita tangu unitukane na kunidhalilisha, leo unaona mimi wa thamani siyo? umekuwa used and overused, leo unaniletea makapi kama siyo bwawa siyo? Wanawake kuweni na huruma basi.
Hii Chai weka mdalasini kidogoLinapokuja suala la mahusiano, wengi wetu tumeshawahi kutendwa, kusalitiwa, kupigwa kibuti, kuchunwa na kuachwa solemba na mengine yanayofanana na hayo. Katika kuishi kwangu, nimegundua hilo siyo tatizo kabisa, ni kawaida sana na ni sehemu ya maisha. Wengi wetu tunashindwa kuhimili msongo unaotokana na hali hiyo, wengine huvuka mipaka hata kwenda kumdhuru mtu, kuua au kujiua. Katika hali kama hiyo, ni vyema sana ukamwamini Mungu sana na ndo kipindi cha kumshikilia sana Mungu, hujui ni kitu gani Mungu amekuandalia mbeleni kwa ajili yako na huyo mtu wako.
Mwaka 2002, nikiwa najiunga na chuo kikuu mlimani nilipata kufahamiana na dada moja, kwa mwonekano wa nje alionyesha kunipenda sana kipindi hicho mimi hata sijawahi kulala na mwanamke, sijui mapenzi yana rangi gani wala shape nikaingia kichwa kichwa nakumbuka nililala nae mara moja tuu wiki iliyofuata rafiki zangu wakawa wananipa story, tukiwa pale Mabibo. day 1.. wananiambia wamemwona kuna jamaa kaja kumchukua na gari chuo..... Day 2... hivyo tena.. Day 3... Wamemwona disco na jamaa nikachoka. Wakati huo na ushamba wangu na ulokole wangu aaah, sijui club wala disco, alafu yeye nikionana naye anajifanya mlokole sana daaaah, roho iliniuma sana.
Ikafika siku nikamfanyia surprise nikakuta madudu ya kutisha kwenye simu yake baada ya hapo tuligombana sana. kilichoniuma alinitukana sana na kunidhalilisha sana kimsingi niligundua ni umaskini wangu ndo kisa cha kufanyiwa yote haya, na akatamka kabisa, "wee mwanaume au mvulana.... kauka nikuvae utanipa nini..". niliumia nililia, nikawa nashinda kusikiliza nyimbo za gospel kwaya.
Maisha yakasonga, tukamaliza chuo sikumtukana wala kumfanyia kitu mbaya nikapata kazi, naye akapata kazi Mungu si Athumani mimi nilipata kazi nzuri kuliko yeye baada ya hilo, nikaoa siku moja tukakutana tena chuoni UDSM 2008 nasoma masters. Daaah, akanishangaa sana, nimebadilika, nimependeza, na picha ya familia yangu na mtoto roho ikamuuma sana, tena alivyo mropokaji akatamka kabisa kujuta kunipoteza.
Hapo yeye bado hajaolewa. To make story short, alikuja kuolewa baadaye sana kwa kuchelewa, i think 2011 ndo aliolewa. ajabu ni kuwa mwaka huu 2018 amenikomalia sana kila wakati anataka tuonane, twende outings, nikajifanya mjinga kumkubalia akanipa wazo tupange chumba hapa Dar mimi na yeye tutakuwa tunakwenda kugegedana atakuwa anatoroka job, then jioni anarudi kwake.
Duuuh, kweli dunia tambara mbovu.
Over my dead body... Miaka 16 imepita tangu unitukane na kunidhalilisha, leo unaona mimi wa thamani siyo? umekuwa used and overused, leo unaniletea makapi kama siyo bwawa siyo? Wanawake kuweni na huruma basi.
Ndo nani huyo aliyechanwa mbele ya kadamnasi?Nahisi ujumbe atakuwa ameupata maana naye yupo humu JF.
Ila sio vizuri kuja kumchana mbele ya kadamnasi mngemalizana kimya kimya tu.
Hahahaaaa hii scene lazima Shetani ushindeeii muvi mimi kam shetani navuta kiti nachukua sigara navuta taratibu,sitaki pupa ii muvi natak iende naturally kabisa bila kuingiza kitu chochot kati yao