Hata mimi nina mwezi nimeshalipia ila wanasema nguzo hamna miti haijakomaa sasa sijui lini hizo nguzo zitafika
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Hii ni chai au kuna kauongo flani kwa mtoa mada. Miaka 17 ya ndoa ina maana nyinyi ni watu wazima kidogo mmepitia mambo mazito zaidi ya hii. Sijaona sababu ya wewe mtoa mada kuchapa lapa katika hili.
Wakala wa sony aliyepo ni Anisuma traders na duka lake liko mlimani city. Kwa bahati mbaya Sony kama imemzidi nguvu kusuply katika sokoni so kuna uhaba kabisa wa Tv za Sony. Nyingi zilizopo ni za watu kununua Dubai na china na kuzileta kwa jina lingine inaitwa Parallel Input au PI.
Kuna wakala wawili wa LG Tanzania. Kuna Mo na Garnet star. Mo anapatikana posta nkurumah street oppsite na LATRA na service centre iko hapo hapo. Huyu Garnet star anapatikana Moroco na service centre iko hapo hapo. Ila pia kuna service centre ya LG inayojitegemea ipo kariakoo Nasra tower.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.