Nilimpoteza mtu wa muhimu sana kwa tatizo hili yeye aliambiwa pingili za uti wa mgongo zimeachana alifanyiwa operation mara mbili. Kwa Mungu hakuna linaloshindikana piga goti muombe yeye atakuponya
It's true
Sidhani km kuna mtu ambae hajajiandikisha kwenye daftari la kupiga kura leo akurupuke tu from no where akataka kupiga kura kwa ulazima. Je ni watanzania wangapi ambao kazi zao haiwalazimu kuwepo sehem moja?
Wangetoa hata ruhusa hiz siku zilizobaki kuna watu tulijiandikisha mkoa fulani kwasababu za kiutafutaji tuko mkoa mwingine tungeweza hata kuhakikiwa tumchague raisi tu. Ni idadi kubwa sana ya watu ambao kiukweli tutakosa kupiga kura kwasababu hii.
Mtoto wangu ana miaka mitatu toka akiwa mdogo hakuwahi kuwa na kigugumizi ila mwishoni mwa mwez wa 3 kuna siku ilitokea tu kila alipokuwa anaongea anashindwa kutamka maneno mpk akawa analia mama mbona mimi leo sijui kuongea?
Yani alikuwa km mtu ambaye kumbukumbu ya vitu imepotea ili atamke au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.