Recent content by Miss Dodoma

  1. Miss Dodoma

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kuwa kwenye mahusiano na mwanamke mwenye mikosi au kisimati?

    Tatizo la Africa [emoji288] ndo hili, think about other factors, labda ulikuwa dent now in service alafu unasingizia dada wa watu Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Miss Dodoma

    JamiiForums Tanzania List ya wanawake humu ndani ambao wako peace,wasio na shida na watu..(wanawake)..

    Simo kwenye list [emoji51][emoji51][emoji51] Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Miss Dodoma

    JamiiForums Tanzania Muda sahihi wa kuanza clinic

    Gharama ni kubwa tho siku i feel coz nina bima, niliongeza hela kidogo ya kitanda mana nilitumia cha bei kubwa inayovuka elfu 15 ya kwenye bima Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Miss Dodoma

    JamiiForums Tanzania Muda sahihi wa kuanza clinic

    Sawa Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Miss Dodoma

    JamiiForums Tanzania Muda sahihi wa kuanza clinic

    Ok gud, jitahidi dawa utakazopewa umeze kula vizuri matunda mbogamboga na maji kwa wingi MUNGU ATAKUVUSHA SALAMA Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Miss Dodoma

    JamiiForums Tanzania Muda sahihi wa kuanza clinic

    Sawa, pia hospital kubwa wana kitengo cha clinic kama siyo mbali na nyumbani nenda hapo hapo Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Miss Dodoma

    JamiiForums Tanzania Muda sahihi wa kuanza clinic

    Tafuta hospital nzuri namanisha nzuri sana, kama una bima au upo vizuri kiuchumi chagua hospital ya private ambayo utaanzia hapo clinic hadi kujifungua Mimi nilipata complications sana ila nashukuru madokta wa pale walijitahidi sana. Uzazi umekuwa changamoto ni vema wanawake tukachagua mahali...
  8. Miss Dodoma

    JamiiForums Tanzania Muda sahihi wa kuanza clinic

    Clinic haina formula mwezi huu unaweza kwenda clinic aghakhan mwezi ujao temeke, mwezi ujao mbagala mwezi ujao Morogoro mwezi ujao kigoma hakuna tatizo But kama upo settled sehemu moja ni vema ukachagua sehemu moja ambayo utaenda clinic na utajifungulia hapo. Nakumbuka wakati ni mjamzito...
  9. Miss Dodoma

    JamiiForums Tanzania Awamu hii kama huna deni mshukuru Mungu

    750 Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Miss Dodoma

    JamiiForums Tanzania Muda sahihi wa kuanza clinic

    Mimba ya kwanza na ya tano sita saba ni sharti ujifungulie Hospital, mimba za pili tatu nne unaweza kujifungulia health Centre au dispensary so inategemea hiyo mimba ya ngapi. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Miss Dodoma

    JamiiForums Tanzania Muda sahihi wa kuanza clinic

    Kwa kawaida unaanza kuuzuria clinic mara tu unapojigundua ni mjamzito tho wengi wao huanza kwenda wakiwa na miezi mitatu Mimi nimeanza kwenda clinic mimba ina week tatu, na pale hospital walinipongeza sana. Kingine siyo lazima pale unapoohuzuria clinic ndo ujifungulie Lakini ni vema kama kuna...
  12. Miss Dodoma

    JamiiForums Tanzania Awamu hii kama huna deni mshukuru Mungu

    Dadeq nadaiwa mno Milion 14 loan board Milion 12 Nmb Elfu 20 tala Mia saba hamsini nipige tafu Elfu 50 mchango wa harusi dedline ni kesho Laki na nusu _mtu binafsi Elfu 72 kodi Hahahahahahahahahahahahahah nimewaza nimejikuta nacheeeeeeeeeka sana Alafu maisha lazima yaendelee Sent using Jamii...
  13. Miss Dodoma

    JamiiForums Tanzania Awamu hii kama huna deni mshukuru Mungu

    Tusaidiane kulipa basi wadaiwa wote, tunaanza langu baadae lako Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Miss Dodoma

    JamiiForums Tanzania Kwa anayejua kuyasoma majibu ya vipimo vya HIV wanisaidie hapa plz, sina amani

    Wanaopima ukimwi mara kwa mara wengi wzo ni watu ambao hawajasettle Jiwe gizani Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Miss Dodoma

    JamiiForums Tanzania Awamu hii kama huna deni mshukuru Mungu

    Nadaiwa nipige tafu ya VodaCom sina amani kabisa hahaha Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom