Sisi tuliokuwepo hatujaona tatizo shida moja ya paul hajui kuichangamsha hadhira yaani hana vibes nimehudhulia concert ambazo amehudumu kama 3 hiyo ndo shida yake kubwa niliyoiona
Kuna interview moja alikuwa anahojiwa master j akasema imechukua miaka 10 kuvunja ndoa yake kwasababu mke wake alikuwa anaweka pingamizi hakutaka ndoa ivunjwe
Na mwaka huu ndio mwanamke ameridhia na utaratibu wa ndoa ya kikiristo kama mke na mme hawajakubaliana ndoa haivunjwi
Huwa kila baada...
Kweli mfano mimi nakaa kwenye appartment tupo familia nane( 8)
Wote tuna luku zetu kila mmoja
Akinunua luku anakatwa
So painfull jamani[emoji24][emoji24][emoji24]
Maujanja ni kujitoa tu niliamuamua kukilipua
Nikaanza kwa kupost status natoa mkopo watu wakanicheka ila sikuchoka baada ya mda watu wananifata inbox kuomba mkopo mi nawapa vigezo na masharti tu
Na huwez amini mwezi huo pesa ilichukuliwa yote mpaka sasa sivuki mwezi na pesa ya mwezi uliopita...
Kila mwaka huwa nacheza vikoba na huwa natoa laki moja kila mwezi ukiongeza na kiingilio huwa tukivunja nakuwa na 1mil na laki 4 nimefanya hivo kwa muda wa miaka mitatu na mwaka jana tulipovunja mwezi wa 12 ikabidi nikae na kutafakari kwa hiyo ntafanya mzecho huu wa kichaa hadi lini?
Kila mwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.