Mama ntilie wana uwezo wa kuwa sehemu ya wawekezaji, kwa umoja wao. Wataalamu wataendesha bandari. Nikukumbushe tu, Bakhresa miaka ile alianza biashara kwa kufanya uchuuzi, more or less kama mama ntilie wa kipindi hiki. Hivi saa ameajiri wataalamu wengi toka nje ya nchi.
Teknolojia inawezesha kupunguza mianya ya upotevu, malipo yote yatakuwa yanafanyika kielektroniki na mteja kufikishiwa mzigo mpaka mlangoni. Itapunguza upigaji na rushwa kwa kiasi kikubwa
Kinadharia, rasilimali za Tanzania, ikiwemo bandari, ni mali ya wananchi (umma) wa Tanzania. Kiuhalisia, mwenye maamuzi ya kuhusu lolote linaloweza kufanyika kwenye bandari ni Rais wa JMT. Kutokana na huu mjadala unaoendelea sasa, pengine ni wakati muafaka Watanzania wakaanza kuwekeza kidogo...
Kwa nafasi yake katika jamii kama kiongozi mwandamizi mstaafu wa CCM na pia mfanyabiashara mkubwa mwenye ushawishi bila shaka Rostam Aziz anatakiwa awe makini sana na kauli zake kwenye public kwa sababu tulio wengi tunayapa uzito unaostahili maneno yoyote atakayosema.
Kwenye mkutano wa kujadili...
Wakati mwingine unaweza ukawa unajiuliza kwa nini nchi haipigi hatua za kimaendelea kwa kasi, unakuja kugundua kama akili za watu wa juu ndio hizi za mikataba mibovu, hao wa chini sijui watakuwa hali gani
Leo wakati akiongea katika mdahalo uliofanyika UDSM, mhadhiri mwandamizi wa sheria profesa Issa Shivji ameeleza kuwa mkataba wa uendeshaji bandari kati ya Tanzania na Dubai una dosari kutokana na vifungu vilivyotajwa hapo juu kukinzana na matakwa ya kikatiba ya Tanzania. Na akaeleza kesi inaweza...
Hakuna anayepinga uwekezaji, utaratibu tu ufuatwe
Usimamizi wa bandari sio rocket science
Upinzani wa kuwekeza kwenye bandari
Serikali kukiri kushindwa kusimamia bandari ijiendeshe kwa ufanisi
Maswali ya msingi yanayopaswa kujibiwa
Uzoefu wa biashara wa DP World sehemu mbalimbali duniani
Jambo...
Ilifukuza kazi wafanyakazi 800 bandarini Uingereza kwa mkupuo bila kufuata taratibu
Iliajiri vibarua toka nje ya Uingereza na kuwalipa ujira mdogo kinyume na sheria
Manamba na vibarua wa Tanzania wajiandae kulipwa kiduchu
Hisia: Waingereza wanasema rushwa imeibeba DP World...
Muungano hauwezi vunjika, tusisahau waliofanya mapinduzi Zbar mwaka 1964 ni wamakonde, wanyamwezi na waafrika wengine, hatuwezi acha ndugu zetu. Mwarabu hawezi mpindua mwarabu.
Somewhere down the line tutabadilisha kuwa nchi mbili, Republic of Tanganyika na Republic of Zanzibar. Halafu...
Du aisee, nilikuwa sijui. Basi hawa Wikipedia watakuwa waongo sana. Ina maana walivyoandika Rostam ana hisa Vodacom, anamiliki kampuni ya Caspian, anamilii kampuni ya Tigo, anamiliki kampuni ya Taifa Gas wamesema uongo. Basi sawa.
Kwenye ukurasa wa Wikipedia unaotoa wasifu wa Rostam Aziz (Rostam Aziz - Wikipedia) unaonyesha moja ya sehemu za biashara na uwekezaji wake ni kwenye huduma za kibandari (port facilities and service). Kwa wanaojua bandari gani anahudumia naomba tu kujua ili kupata ufahamu.
Sio kwamba nataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.