Kaulizwa swali zuri kwamba kwanini Simu za Mbowe hazijakamatwa kuthibitisha mawasiliano baina yao!????? Wanajua hayo mawasiliano wameyachonga ndo maana wana simu za urio ila za Mbowe hawakuzikamata maana ni mchongo
Sheria ya kulinda siri ina sehemu inazokuzuia kuropoka siri za taasisi yako unayofanyia kazi,,,sehemu hizo ni kama ukiwa baa, sokoni,msikitini,kanisani,kwa mchepuko nk, ukiwa sehemu hizo ikaropoka mambo kwa mfano ya Jeshi utaadhibiwa vibaya sana
Ila linapokuja swala la mahakama,utajibu kila...
Mahakama ikitaka ushahidi wowote kutoka kwa mtu yeyote na wakati wowote inaupata!!! Kumbuka hakuna chombo wala mtu mwenye nguvu zaidi ya mahaka!a linapokuja swala la haki,,,tushukuru tupo kwenye nchi ambayo mahakama haiwezi kusimamia hadhi yake ipasavyo otherwise ungeona vumbi...
Mawakili wa utetezi waende mitandao husika waulize gharama ya kutoa Tsh 500,000/ ilikuwa sh ngapi wakati huo,,maana haiwezekani 500,000 itolewe kwa makato ya buku
Basi hii kesi Mbowe ashashinda shahidi muongo hata kama alikuwa na mahusiano na Mbowe
Mawakili wa utetezi waende mitandao husika waulize gharama ya kutoa Tsh 500,000/ ilikuwa sh ngapi wakati huo,,maana haiwezekani 500,000 itolewe kwa makato ya buku
Basi hii kesi Mbowe ashashinda shahidi muongo hata kama alikuwa na mahusiano na Mbowe
Mawakili wa utetezi waende mitandao husika waulize gharama ya kutoa Tsh 500,000/ ilikuwa sh ngapi wakati huo,,maana haiwezekani 500,000 itolewe kwa makato ya buku
Hadi ulishitaki/mshitaki askari polisi upate haki mpaka uwe na mtu anaekusimamia mwenye sauti serikalini!! Chunguza utajua!! Kiundwe chombo kilisimamie hilo jeshi litawamaliza wananchi kwa kesi ovu na mauaji ya kimya kimya
Polisi Tanzania limekuwa jeshi ambalo linaweza kubambika kesi kwa yeyote wamtakae na lisihojiwe na chombo chochote.
Wameenda mbali wanaua mtu yeyote hasa wafanyabishara endapo wataona ana mali za kumpora,wanamuua na wanamtupa na kuchukua mali zake kwa jeuri kabisa wakijua kabisa kwamba hakuna...
Linganisha wabunge 300+ na utitiri wa waalimu na Manesi!! Nadhani jibu utapata!! Ukisema ulipe labda Sh 100,000 kama posho kwa walimu na watumishi wengine utapata karibu robo tatu ya pesa inayolipa mishahara yote ya watumishi,,kwa stahili hiyo lazima ushindwe kulipa posho kwa watumishi wote...
Ukisema uwalipe let say walimu posho kama hizo,serikali yetu haina uwezo huo kwa sasa!! Vyombo vya ulinzi vinapewa kama ka motisha tu kulingana na unyeti wake!!
Nadhani pesa ipo isipokuwa viongozi mazezeta hasa wizarani walishaigeuza kama fungu la maendeleo badala ya kumpa askari haki zake!!!! Ni bahati mbaya viongozi wa vyombo hivyo nao wako bariiiiiiiidi utadhani raia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.