Join Date : 29th April 2013
Posts : 6,107
Rep Power : 100996
Likes Received520
Likes Given80
Waganga njaa wa Rumumba utawajua.wanaajiliwa kwa kasi mno ,kamwe hamtaidhofisha chadema mpaka nife.wait for your award,you will end up shamefully
Nakubaliana na wewe Kabisa kwamba Matusi siyo identity ya mtu msitarabu anaye lenga kufikisha hoja yake
Nakubaliana pia na malalamiko ya wachangiaji wengi kuhusu Safari nyingi zisizo na Tija za rais wetu nje ya nchi kwa sababu anaposafiri rais kumbuka anaambatana na idadi rukuki ya watu (It...
Kwenye Hiyo hifadhi yetu ya BURIGI Kinana hajatinga Gene? Majuzi nimepita humo Kimisi nikiwa naelekea Karagwe kwenye Shuguli za kawaida nikamwona Tembo ana Pembe kubwa,gafla nikajikuta nikiwaza kwamba bora mnyama huyo aende mbali na barabara wachina na kina KINANA wakimwona utakuwa mwisho wa...
Mswaada wa marekebisho ya Katiba Umetinga tena Bungeni.Utajadiliwa upya na walioupitisha kama maroboti(wabunge wa CCM na UDP) na wapinzani walioususia.Kama sijakosea wewe ulikuwa miongoni mwa watu wa Kwanza Kuanzisha uzi humu,mara tuu ya Hotuba ya Mh Raisi kueleza nia yake ya kuurejesha...
Mkuu issue siyo ndogo kama unavyoichukulia! ujue wanaorudi kwao ukiwaona walivyo pale Rusumo utawaonea Huruma!! ni kama wanahofu wanaenda kuingia kwenye ile hali waliyoishuhudia miaka ya 50,90 na hasa 94!! wengi wanamchukulia PK kama chui ndani ya zizi la kondoo
Nimependa uamuzi wa JMT wa kuwarudisha walio Haram kwao ili wawe halal ihuko.Jumuia ya kimataifa inajua wazi kuwa uhamiaji haramu haukubaliki na kama alivyoshauri rais wa JMT kuwa TZ inakaribisha wageni wote wenye nia njema wanaowekeza ama wenye shuguli zao kwa mujibu wa sheria,yule anayependa...
mpumbavu nm wa- [a-/wa-] fool, buffoon, cretin, dunderhead; goof, idiot, jackass.
nilikuwa naangalia tafsiri ya hilo linalodaiwa kuwa tusi kwa luga ya Kingereza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.