Hii ni htar!! Kapuya kweli umepuyanga kama jina lako!! Serikali yetu na tindikal na vtsho vya ajabu!! Je tutafika?? Mi naamin mtt huyu ana bahati kubwa kwa story hii inaonekana mtt angekuwa ashakufa...so yawezekana akienda kupima hatokutwa na maambukiz!! Ila tunahtaj kujivunza kupitia haya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.