Ila hawa jamaa cwaelewi wanaacha kufichua mafisadi watu wanao kwepa kulipa kodi watu wanao pokea na kutoa rushwa wanaenda kufichua ujinga halafu wanajicfu kwel hii ndio bongo
Hii ndo bongo wachache waendelee kinufaika tulio wengi tusubiri kudra za mwenyezi mungu soini cha mcngi kinacho endelea dom ni maudhi kwa wananchi tusubiri INSHAALAH
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.