Ccm oyeee! Ukiwa maskini utakuwa wa chama kingine huyo mazuri yote yake kazi nzuri., ubunge juu anacheza na hela kila wakati hawezi kuwa ns maisha magumu
Uncle hardworking uanza na sifuri na ukiwaona utawajua tu nenda shambani huko vijijini kwenye kilimo., umeshawai kuwaona mama ntilie., wauza maji wakihangaika barabara na wasukuma mkokoteni yote hiyo ni mifano hao wanakula kwa jasho na nguvu .huyo dada yetu alikuwa kwenye kutafuta kwa njia isiyo...
Baba hongera sana uamuzi wako ni mzuri wewe ni mfano wa kuingwa.mwanaume anasifiwa kwa maamuzi magumu bwana.hongera kwa kutua mzigo baba waache endelee wenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.