Recent content by Mireni KJ

  1. Mireni KJ

    Fridge aina ya Boss rangi nyeusi

    Ninauza fridge yangu aina ya Boss. Inatumia umeme mdogo (energy server). Ina sehemu ya kugandisha na sehem ya fridge kawaida Ipo Arusha mjini Offer yangu ni Tsh. Laki 5 Sábado ya kuuza nina uhitaji wa pesa kwa haraka. Mazungumzo yapo kwa mteja alie serious tu. Namba ya simu 0758435748
  2. Mireni KJ

    Steering Rack kuwa ngumu

    Hapana inawaka P/S
  3. Mireni KJ

    Steering Rack kuwa ngumu

    Hiyo ni picha tu mkuu
  4. Mireni KJ

    Steering Rack kuwa ngumu

    Ndio. Ni usukani wa umeme
  5. Mireni KJ

    Steering Rack kuwa ngumu

    Nina Crown athletic ya mwaka 2006. Hivi karibuni nimebadilisha steering rack yote pamoja na mkanda wa steering baada ya ile ya kwanza kukatika. Baada ya kubadilisha na kuweka nyingine Steering imekuwa ngumu sana haswa wakati wa kureverse na na wakati wa kukata kona. Cha ajabu gari ikiwa kwenye...
  6. Mireni KJ

    Natafuta chuo kizuri kinachofundisha lugha ya kihispania.

    Habari za hapa wana jukwaa la lugha wote. Naombeni mnijuze chuo kizuri hapa Arusha kinachofundisha lugha ya kihispania. Asanteni.
  7. Mireni KJ

    Naomba Ushauri

    Shukrani mkuu kwa ushauri wako mzuri
  8. Mireni KJ

    Naomba Ushauri

    Nataka kuchukua moja ya hizi gari.Nimeona ni vizuri kuomba ushauri kwenu wana JF kuhusu Changamoto, Uzuri na ubaya . Chaguo langu ni kati ya haya: 1.Toyota Mark X 2. BMW 525i au 325i 3.Toyota Crown Royal 4. Subaru Legacy By
  9. Mireni KJ

    Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

    Mtaji huo unafaa kabisa kuanzisha biashara ya Duka la Jumla. Cha muhimu tafuta location nzuri. Pia jaribu kupata frem ambayo sio ghali sana. Jitahidi kufanya stock kwa bidhaa zinazotokana na kilomo. Ni hayo tu kwa upeo wangu
  10. Mireni KJ

    Biashara ya Ununuzi wa Dhahabu

    Jitahid utembelee migodi ya dhahabu ili uweze kuijua vizuri. Ukishaaijua ndio ufanye mpango wa kuanza kununua.
Back
Top Bottom