Wakuu nimeitwa kwenye usaili wa Examination officer(written) hapo Dodoma (2/10/2023). Naomba kujuzwa maswali yanayoweza kuulizwa kwenye hiyo paper kutoka kwa wazoefu mliowahi kufanya hizo interview.
Ukiingia youtube utaona kweny cover ya iyo nyimbo kuna kiti. Kile kiti ndio jibu lenu lipo pale sasa wataalamu wa tafsida watuambie kile kiti kina maana gani?
Kwenye kikao chetu wanaume tumesha kubaliana kwamba ukijua mkeo anakucheat ni kumuacha tuu wala hakuna mjadala kwaiyo ni bora uendelee kubaki na siri yako kwa usalama wa ndoa yako
Kuna demu alinipenda sana kipindi hicho, nimechoka vibaya sina mbele wala nyuma, lakini bado yule mtoto aliendelea kuniganda na kunisikiliza. Mwaka nilipohitimu shahada, yeye pia alihitimu stashahada. Mwenzangu akapata kazi kabla yangu na alipata kazi mkoa tofauti na ule tulioishi, lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.