Huwezi linganisha A series na tecno , maana samsung ni kampuni kubwa ila tu A series (Alpha) ni galaxy series inayotoa simu za bei rahisi na affordable kwa hii jamii kubwa ya afrika ambayo ina watu wengi wenye kipato na uwezo mdogo wa kupurchase simu,pia wanaeka chipset ndogo ambayo huwezi...
Wakuu naombeni msaada juu ya kuroot tecno w4 maan kwa one click root kma kingroot zimegoma aseee.....ko tukiachana na kuroot kwa pc utaalam upi natumia kuroot hii Android.......maan cna pc
Wakuuunaweza kuinstal ram ya samsung kwenye htc au simu nyingine yaan nkimaansiha ile display ya simu muonekano wake na hata fonts bila kuroot....ukainstal kwenye simu nyingine na ikaonekana kama simu ya samsung
Wakuu naomben kusaidiwa hii game imekua ikinisumbua sana kila ninapo jarib kuinstal inanigomea nime view youtube videos kibao nikajifunza jinsi ya kudownload data ya apk na mod na jinsi ya kuextracct lakin cha ajabu nimejaribu kudownload apk data nika extract kma inavyo takiwa lakini inagoma na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.