Amoeba ni miongoni mwa magonjwa masumbufu sana kupona dawa za Hospitali hazifanyi vizuri kwenye huo ugonjwa. Na ikitokea umetumia dawa za Hospitali jitahidi umalize dozi yote
Mara nyingi amoeba inawasumbua zaidi watu waliowahi kuitibu Kwa kutokumaliza dozi kwaiyo Huwa unarudi Tena na kuwa Kali...
Kama unamiliki taasisi ya afya, maabara, kiwanda, chuo kikuu, au unahusika na huduma za matibabu ya maji(water treatment)— Alphacia Limited ni chaguo sahihi kwako
Tunahusika na usambazaji wa:
🧪 Reagents za Maabara (Lab Reagents)
🔬 Vifaa vya Maabara (Lab Equipment & Instruments)
⚗️ Kemikali za...
2025DG kubishana na huyu mwamba ni kumpa attention tu ya bure na kupoteza mda anaenjoy kuona wengi wanamjibu just msimpe attention na msimjibu muone kama ataendelea😊
Kwa upande wa vitabu umesoma vingi na vingine vyotee umeelewaa sana lakini kwa biblia we ni mweupe pee,yaan kusema kweli huijui
Na nimesign out sitashiriki mjadala utaoendelea kwasababu ni upotezaji wa mda na utumiaji mbaya wa bando (joke) utaendelea na kisai
Hahahaaa Kweli biblia ni kitabu kigumu sana kwako. Yaani hicho ulichoandika bado hujui kwamba kilikaririwa kutoka kwenye kitabu cha yashari.
Unasoma sana vitu walicoandika wengine hiyo ndo changamoto baada ya kufikirisha ubongo wako
Kukuthibitishia Mungu yupo nakupa simple fact naona mjadala utakuwa mrefuuu wakati me natoa dhana tofauti tofauti we unakuja na maelezo yaleyale na kujitetea tu
Mungu yupo kutokana na utendaji wake unaoonekana kwa macho na usio onekana.
Mfano was jambo linaloonekana kwa macho ni tarumbeta...
Hahahaa yaani umeangaika na kiswahili changu na kosa l afu we unakuja kukosea kosa la kijinga "internat" ni nini au ni lugha gani tuseme? Ndo ujue kuwa typing error zipo tuu acha kukazia point za kitoto
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.