Hello guys naomba kujuzwa mtaa wa ashanti ilala wanauza nguo za mtumba bei gani je wanauza mabalo ya nguo ama amna wenye connection na wafanyabiashara pale nawaomba wanisms pm maisha ni kusaidiana only serious people
Okay naswali kwa wakazi wa Dar ni wapi wanauza mitumba grade one au two mizuri ya nguo za watoto mana mmi hununua zile za jero Ilala za wakubwa lakini biashara inaenda taratibu nataka nianze za watoto nipo Dar nipeni chimbo na mda sahihi niende.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.