Recent content by Minah24

  1. Minah24

    Tafakari chukua hatua.

    Apo kwa mwanamke ongeza na hela
  2. Minah24

    Utani Wa Ngumi

    Hao rungu wako wapi wakushtak unaharibu soko lao.
  3. Minah24

    Kuna aliyewaelewa hawa ' Amnesty International ' kwa hili?

    Hizi mambo zakubanduana kila siku hupoteza ladha ya tendo,mwisho wa siku nikuchokana nakutuchosha kama sio kutuzeesha.
  4. Minah24

    Kuna aliyewaelewa hawa ' Amnesty International ' kwa hili?

    Muwe mnaomba jaman Hata kama mmeoa. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Minah24

    GERALD MAYO VS SHETANI NA STAFF WAKE

    😂😂😂😂😂😂😂 Mbavu zangu heheheheee
  6. Minah24

    Tanzania ina macelebrity wa kweli?

    Huu Uzi unakaribia kufikisha miaka 10 tangu uandikwe humu Darrrh!!!
  7. Minah24

    Wale ambao bado hatujavunja amri ya 6 mwaka huu tukutane hapa

    Ziwe nyingi tu zimalize matatizo yangu,hata hakuna shida.
  8. Minah24

    Wanawake na artificial insemination

    Kwanjia halali ya kutungisha mimba(Kikojoleo kwa kikojoleo)
  9. Minah24

    Wanawake na artificial insemination

    Wacha kila mtu aishi maisha anayoyataka,maisha mafupi sana jaman
  10. Minah24

    Wanawake na artificial insemination

    Ukiacha kupendwa na wadada ,yeye mwenyewe alisema anauza mbegu kwa mwanamke yeyote anaetaka kuwa na mtoto mzuri .
  11. Minah24

    Wale ambao bado hatujavunja amri ya 6 mwaka huu tukutane hapa

    Nikitenda hilo tendo wakati cna hela au nnatatizo lolote linanisubua kwa wakati huo hua sickiag raha
  12. Minah24

    Mapenzi Yana muda wake

    Bhasi sawa Mkuu We nenda kafanye mapenzi. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Minah24

    Nina miaka kumi sijawa Na mpenzi masingle njooni niwape uzoefu

    Aiceeeeh!!! Umewezaje mwenzetu au ndo ulikuwa busy na kudanga?
  14. Minah24

    Hiki kisa cha huyu mwanaume aliyetembea na shemeji yake kimenifunza.

    Ila A cyo muongeaji kabisaaa ,mpole adi nimempenda buree Nimemsikia wakati anaongea na Gea nikama hataki ata kuongelea iyo ishu ,yuko poa tu alafu inaelekea anampenda sana rafiki ake
Back
Top Bottom