Pole Sana ndugu, usifikirie mabaya kwa sasa....mueleze mwenzio hali yako labda hajui....ila pia gaya ni matokeo ya kutomsoma mwenzio vzuri kabla ya kumuoa, pole
Habari za mida hii wakuu,
Naomba mnisaidie jambo hapa, ni vitu gani au mambo gani ya muhimu kuwa nayo kabla ya kuanzisha biashara ya chakula(restaurant ama mgahawa mzuuri). Naombeni msaada wenu hapa hasa wale wazoefu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.