magavya
Upo sahihi kabisa ndo maana kwenye maelezo nimesema wanaotimiza wajibu wao, ambao wenyewe wana wito wa kutoa huduma na ambao hawatimizi Mungu awape utashi wa kujua majukumu yao na kujua kwanini wapo hapo walipo...
Ooh nimeona tu baadhi ya madaktari wa hospital Fulani wanavyohudumia watu wao vizuri .wanavyojali muda wao na kusamini muda wa wagonjwa wao hata chai anakunywa kwa muda mfupi akijua kuna watu wanahitaji huduma yake..apo ndo nilipotokea kuipenda na kusamini hii kada ndo ivo tu
Dada nameless apo key point ni madokta nimetokea kusamini sana kazi yao kwa wachache niliyowaona kiukwel wanajituma na kuipenda kazi yao ambayo ni ngumu na ina challenge nyingi na bado wanaifanya vizuri
Nawapongeza sana madaktari wote mnaopenda kazi yenu na kuhudumia watu kwa moyo mmoja mungu awabariki sana na azidi kubariki kazi zenu kwani huo ni wito.
Nawapenda sana madaktari hata nikisema niolewe Mungu anipe doctor ili niwe namtia moyo kwenye kazi yake aweze kuifanya vizuri.
Mungu wabariki...
Asante sana ubarikiwe kama hutojali naomba uniambie na aina nyingine ya chakula ambao ni nzur kwake maana sukar ilikuwa juu sana 32 na vipi kuhusu maziwa?
Ushauri mzuri sana yani ukiishi ivi stress za mahusiano kwako zitakuwa historia.kama wawili mmeshindwa kutatua hata wazazi wenu na viongozi wa dini hawawezi kamwe
TatZo watu wanachanganya Haki na wajibu na hicho ndo kinaleta shida katika jamii...maana kuna wajib wa mwanaume na mwanamke katika jamii au familia... Na Haki haiangalii jinsia sa ww wanawake wengi tunachanganya apo.unapoongelea Haki ndo hizo apo juu elim matibabu na nk...na wajib ni zile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.