Recent content by mimi_wewe

  1. mimi_wewe

    Kumbe Kanali wa Jeshi ni cheo kikubwa kuliko cheo cha IGP

    Saluti ni salamu,yaani hapo kama igp kasema "mambo vipi,halafu kanali akaitikia poa poa"
  2. mimi_wewe

    Mtangazaji ITV uliyehabarisha wizi wa box la kura Magomeni uwe makini, unatafutwa na "kuwindwa" kwa muda mrefu

    Hii ndio Tz mpya inataka kutangaza na kusifiwa tu, kuonesha maovu na kukosolewa kwao ni haramu!?
  3. mimi_wewe

    Tetesi: Jerry Muro na William Malecela ndani ya mpango wa hatari wa kuidhibiti timu ya Fiesta

    Tayari yametimia,muziki kwenye kumbi za wazi mwisho saa 6 usiku!
  4. mimi_wewe

    DAR: RC Makonda asema kibali cha kupiga muziki mwisho saa 6 usiku, Ruge azungumza

    dedication song Weusi-madaraka ya kulevya[emoji446][emoji444][emoji445]
  5. mimi_wewe

    Kuhusu BEING SPORT

    so channel zinapatikanaje au kuna decoda maalum!?
  6. mimi_wewe

    Piki piki kwa mil 1.

    Asee nina mil 1 ninahitaji piki piki used(isizidi mwaka mmoja toka inunuliwe na iwe haijaguswa injini)ya kutembelea mwenye nayo anipe namba tuwasiliane!
  7. mimi_wewe

    Kuhusu BEING SPORT

    hii post inamuda mrefu lakn haijapata msaada asee!
  8. mimi_wewe

    Kutengeneza andoid app na faida zake

    Asante sana kiongozi! Bado kitu kingine namna gani ntapata faida juu ya kuwa na hiyo application.
  9. mimi_wewe

    Bei ya SANYA SY150-9

    Mbona kimya wadau!?
  10. mimi_wewe

    Kutengeneza andoid app na faida zake

    Dah!ndio kusema watu hamfahamu!?mbona kimya!!?
  11. mimi_wewe

    Kutengeneza andoid app na faida zake

    App za kwenye simu huwa nzuri na hupendwa na watu kama ukipata wazo zuri la kuweka katika hiyonapp. Sasabasi mimi nimepata wazo na kwa mujibu wa mawazo yangu na watu wangu wa karibu niliowashilikisha wameafikiana nami kuwa ni wazo zuri na app hiyo kama nitaifanikisha itapendwa sana na watu! App...
  12. mimi_wewe

    Bei ya SANYA SY150-9

    Naomba kwa anaejua bei ya sasa ya pikipiki MPYA aina ya SANYA 150-9 anisaidie,kwa mazingira niliyopo nivigumu kufahamu na ndio maana nikaamua kuomba msaada kwenu wanajamii!!
  13. mimi_wewe

    MAMBO NA VIJAMBO Imeridi tena!

    Ni maika mingi nimeacha kuangalia comed za tv baada ya orgina comed kupoteza umaarufu na nilikimis sana kipindi cha mambo na vijambo cha chenel 5 miaka takriban mitatu iliyopita, Nilikua mshabiki na mpenzi mkubwa sana wa hawa waigizaji na watunzi wa hii comedi ASANTENI SANA EATV KWA kuirudisha...
  14. mimi_wewe

    Msaada: Kufanya installation kwenye volcano box

    Okey niambie upo mtaa gani nikutembelee mtaalam!!
  15. mimi_wewe

    Naomba msaada please.

    Tafuta software inaitwa window 7 loader!
Back
Top Bottom