Kweli kabisa ila kuna mda inabidi icho kidgo ndicho utumie kupata kingine kwa ajili ya kesho ata ikiwa mia mbili usiile leo ikaisha kesho utakula nn ?? Jasho na damu na mateso
Sawa boss ila cha muhimu tunaona vijana wengi wamesoma ila mwishowe elimu yao ni ya karatasi sio vitendo je ni wapi utapeleka makaratasi bila ufanisi wa vitendo ueleweke? Kwaio ni lazima elimu ya vitendo ipewe kipaumbele kuliko makaratasi mtu hata akifail ila angalau ana chochote kitu cha...
Kwanini Watanzania tunapotea katika elimu shuleni? Na kwanini tunasoma na mwisho wa siku tunakaa bila ajira? Ni kwa sababu zifuatazo
KISIASA: Kisiasa elimu inachukuliwa kama chama tu ambacho kinajitegemea na kinajiweza kwa kila kitu kana kwamba chenyewe hakiitaji nguvu ya ziada kusukumwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.