Jambo zuri nikuwa ana afya njema kabisa. Waswahili wanasema "Mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe" hivyo nashauri atumie ufahamu na nguvu alizopewa na Mungu kwenda kufanya kibarua sehemu yoyote ile pasipo kuchagua aina yakazi atakayopewa. Baada yakufanya hiyo kazi naamini atakutana na watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.