Rais Samia, fanya mabadiliko ya wasaidizi wako hasa Kwenye hotuba; unaweza ukawa na wasomi ila siyo wataalam wala wazoefu

Mfano hotuba ingejitika katika masuala yafuatayo!

I) Mambo ya makusanyo ya tozo ili kupunguza sintofahamu kwa wananchi jinsi ya matumizi yake!

ii) Demokrasi na uhuru wa vyombo vya Habari na Vyama vya sasa.

iii) Hatima ya katiba mpya

iv) Ufafanuzi wa deni la Taifa ili kuwafanya wananchi waweze kuelewa kwa undani na kutoa taharuki kwa wananchi!

V) Mwendelezo wa miradi nyeti kama Hospital za kanda, mikoa, wilaya na vituo vya afya na ujenzi wa viwanja vya ndege, barabarani juu na madaraja kama Mto wami nk!

Vi) Jinsi ya kukabiliana na upandaji wa gharama za maisha ikiwemo jinsi ya kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa mvua maana kwa mwaka huu hali ya mvua sio nzuri kwa maeneo mengi ya nchi!

vii) Kutoa mwelekeo wake wa kisera na kimkakati kuweza kukuza uchumi na kuimarisha hali za za wananchi mfano machinga baada ya kutolewa barabarani serkali yake inaendelea na mkakati gani!.

Mwisho nashauri wasaidizi wa Rais Samia wajitahidi kuandaa hotuba ambazo zitaleta ufafanuzi wa kutosha kwa wananchi badala ya kuengelea mambo mepesi yasiyo na tija kwa msitakabari wa Taifa!
Of course inakuaje watu hawajiridhishi na hotuba ya Rais kabla ya kuitoa public?

Rais mfute Kazi mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais Ikulu..hii dola za Marekani bilioni 6,250 ni pesa ambayo inazidi GDP yote ya Africa..

Makosa yapo ila kujirudia rudia sio sawa,hapo ilitakiwa isomeke dola za Marekani milioni 6,250 sawa na Shilingi til.14 na bil.600 .
 
Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete walikuwa vipanga darasani.

Mwendazake na huyu sijajua historia zao za darasani zilikuwaje.

Hata kama unaandikiwa, inabidi personaly uwe vizuri kichwani, ukipitia ulichoandikiwa unapaswa kugundua nyufa mwenyewe.
Hii hotuba ya mama ningeambiwa niipe maksi kati ya 100 ningeipa 10 tena kishingo upande.
 
Mfano hotuba ingejitika katika masuala yafuatayo!

I) Mambo ya makusanyo ya tozo ili kupunguza sintofahamu kwa wananchi jinsi ya matumizi yake!

ii) Demokrasi na uhuru wa vyombo vya Habari na Vyama vya sasa.

iii) Hatima ya katiba mpya

iv) Ufafanuzi wa deni la Taifa ili kuwafanya wananchi waweze kuelewa kwa undani na kutoa taharuki kwa wananchi!

V) Mwendelezo wa miradi nyeti kama Hospital za kanda, mikoa, wilaya na vituo vya afya na ujenzi wa viwanja vya ndege, barabarani juu na madaraja kama Mto wami nk!

Vi) Jinsi ya kukabiliana na upandaji wa gharama za maisha ikiwemo jinsi ya kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa mvua maana kwa mwaka huu hali ya mvua sio nzuri kwa maeneo mengi ya nchi!

vii) Kutoa mwelekeo wake wa kisera na kimkakati kuweza kukuza uchumi na kuimarisha hali za za wananchi mfano machinga baada ya kutolewa barabarani serkali yake inaendelea na mkakati gani!.

Mwisho nashauri wasaidizi wa Rais Samia wajitahidi kuandaa hotuba ambazo zitaleta ufafanuzi wa kutosha kwa wananchi badala ya kuengelea mambo mepesi yasiyo na tija kwa msitakabari wa Taifa!
Ikulu na Utopolo vimeumana mwasilishaji na msomaji kedekedeee macho mzuri macho mzuri halaa halaaa ololooo olooo eee iyena!!! Oooh sana
 
Salamu za mwaka mpya haziwezi kuwa hotuba ndefu yenye maudhui kama hotuba ya mpango wa maendeleo. Tuache kulaumu laumu kila kitu.
 
Hivi Magufuli alikuwa akihutubia Taifa mwaka mpya na kueleza malengo ya serikali kwa mwaka unaofuata?Mwingine anasema eti hotuba ya jana ilitakiwa itoe mwelekeo wa bajeti ijayo!Duh ,kweli kazi ipo
 
Hivi Magufuli alikuwa akihutubia Taifa mwaka mpya na kueleza malengo ya serikali kwa mwaka unaofuata?Mwingine anasema eti hotuba ya jana ilitakiwa itoe mwelekeo wa bajeti ijayo!Duh ,kweli kazi ipo
Kwenye hotuba Magufuli ndiyo hakuwapo kabisa, na akihutubia ni matusi matupu. Let's appreciate kinachofanywa na Samia
 
Hivi iliwezekana vipi nchi kumpata Rais wa hovyo kama huyu?!
 
Ukijua kazi ya akiba hautaongea tena hizo pumba zako
Mkuu pole, ila kwa taarifa yako tu dola bilioni 6153 alizosema mama kuwa Tanzania inazo ni pesa nyingi sana na hatujawahi kuwa na kiasi hiko tangu tukiwa british teritory mpaka sasa tukiwa free state..
 
Hotuba ni kitu personal. Kile unachotaka wewe ni cha kwako wewe na siyo Samia. Hata mimi ningetaka hotuba ya mwaka mpya ningeandika ya kwangu tofauti na hiyo ya kwako. All in all amefikisha ujumbe aliotaka uwafikie watanzania.

Still angeamua pia kutoongea. Acheni critique za kijinga
Aisee kwanini unatumia Picha yangu kwenye Profile yako
 
Mfano hotuba ingejitika katika masuala yafuatayo!

I) Mambo ya makusanyo ya tozo ili kupunguza sintofahamu kwa wananchi jinsi ya matumizi yake!

ii) Demokrasi na uhuru wa vyombo vya Habari na Vyama vya sasa.

iii) Hatima ya katiba mpya

iv) Ufafanuzi wa deni la Taifa ili kuwafanya wananchi waweze kuelewa kwa undani na kutoa taharuki kwa wananchi!

V) Mwendelezo wa miradi nyeti kama Hospital za kanda, mikoa, wilaya na vituo vya afya na ujenzi wa viwanja vya ndege, barabarani juu na madaraja kama Mto wami nk!

Vi) Jinsi ya kukabiliana na upandaji wa gharama za maisha ikiwemo jinsi ya kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa mvua maana kwa mwaka huu hali ya mvua sio nzuri kwa maeneo mengi ya nchi!

vii) Kutoa mwelekeo wake wa kisera na kimkakati kuweza kukuza uchumi na kuimarisha hali za za wananchi mfano machinga baada ya kutolewa barabarani serkali yake inaendelea na mkakati gani!.

Mwisho nashauri wasaidizi wa Rais Samia wajitahidi kuandaa hotuba ambazo zitaleta ufafanuzi wa kutosha kwa wananchi badala ya kuengelea mambo mepesi yasiyo na tija kwa msitakabari wa Taifa!
Acheni kumpangia Rais SSH mambo ya kuongea. Kwanza ni hiari yake kuongea na wananchi wala siyo takwa la Katiba. Hakuna Marais 2 wanaoshabihiana kuanzia J K Nyerere hadi Magufuli juu ya kuongea mwisho wa mwaka.

Hata angesema "Nawatakia Heri ya Mwaka Mpya" tu ingetosha.

Yale aliyoyaainisha ndiyo aliyoyaka tusikie. Hayo ya kwako sambulugu kawasomee wanao sebuleni kwako.
 
Mfano hotuba ingejitika katika masuala yafuatayo!

I) Mambo ya makusanyo ya tozo ili kupunguza sintofahamu kwa wananchi jinsi ya matumizi yake!

ii) Demokrasi na uhuru wa vyombo vya Habari na Vyama vya sasa.

iii) Hatima ya katiba mpya

iv) Ufafanuzi wa deni la Taifa ili kuwafanya wananchi waweze kuelewa kwa undani na kutoa taharuki kwa wananchi!

V) Mwendelezo wa miradi nyeti kama Hospital za kanda, mikoa, wilaya na vituo vya afya na ujenzi wa viwanja vya ndege, barabarani juu na madaraja kama Mto wami nk!

Vi) Jinsi ya kukabiliana na upandaji wa gharama za maisha ikiwemo jinsi ya kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa mvua maana kwa mwaka huu hali ya mvua sio nzuri kwa maeneo mengi ya nchi!

vii) Kutoa mwelekeo wake wa kisera na kimkakati kuweza kukuza uchumi na kuimarisha hali za za wananchi mfano machinga baada ya kutolewa barabarani serkali yake inaendelea na mkakati gani!.

Mwisho nashauri wasaidizi wa Rais Samia wajitahidi kuandaa hotuba ambazo zitaleta ufafanuzi wa kutosha kwa wananchi badala ya kuengelea mambo mepesi yasiyo na tija kwa msitakabari wa Taifa!

Mkuu tupe kwanza mipango yako ya familia . Uliyoyapanga na kufanikiwa na yajayo. Ukiwa nje ya ngoma unaona mambo rahisi sana. Gombea tukupe.
 
Mama katoa tango pori LA mwaka 2022, Nchi Ina hakiba ya bil 6253, na Yuko serious anasoma hotuba, hata kushituka hawezi, tuna Rais mweupe kichwani balaa toka tupate Uhuru, watanzania tumepatikana, Rais hajui chochote kuhusu nchi yake aibu iliyoje hii.
 
Rais anapokuwa muwasiliniaji(communicator) mzuri inasaidia kufunika mapungufu mengine.

Wema, upendo, upole, unyenyekevu, uadilifu n.k ni sifa nzuri lakini zisipowasilishwa vizuri kwa watu zinabakia kuwa vitu vya kufikirika tu badala ya kuchangia katika kuongeza mvuto wa kiongozi.
 
Back
Top Bottom