Kama alivyokuahauri mama mkwe wako ni wewe na mkeo mtayamaliza lakini inauma sana Tena sana unaweza ua kufa kwa aku moja tu kaa tuliza ajili wewe sio WA kwanza kupata majanga kama haya
Sent using Jamii Forums mobile app
Unashimdwa kuchanganua kati ya maziwa na tui LA Nazi inaomekana weww sio mtundu kwanza kunawengime wanafika wengine wala hawelewi kileleni kukoje,akifika inavyotakiwa atapunzika halafu atapata usingizi mzito balaa.sio wanao lialia ukimaliza anaanza kucheka hapo Hanna kitu
Sent using Jamii...
Swali langu kwa,nini mradi huu wameleta mpaka madereva wa mitambo.samahanini nimekosea kuleta Uzi huu mahala sio pake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza wakuu poleni na majukumu ya kutwa mzima.nijielekeze mojakwamoja katika hoja yangu hawa jamaa wajenzi wa reli yetu ya mwendo kasi ,sielewi kwani kampuni nyingi za ujenzi zinakuja tunazioma asilimia kubwa madereva wa mitambo huwa watanzania wenzetu sasa hawa mbona wao ndio waendesha mitambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.