Wewe hupendi?Yan kwanini mtu afanye hivyo? Au kwanini mtu apindue kimguu chache?
Kwanini mtu aachie sehemu ya maziwa wakati wa kupiga picha? Kwanini? Kwanini?
Sura wote wanazo, inye lazima ibinuliwe tuone utofautiYan kwanini mtu afanye hivyo? Au kwanini mtu apindue kimguu chache?
Kwanini mtu aachie sehemu ya maziwa wakati wa kupiga picha? Kwanini? Kwanini?
Kama ndo mawazo yenu ww na mtoa mada ni hovyo