Habari wakuu. Natafuta kiwanja nje kidogo ya jiji la Dodoma at least kilomita 15 kutoka mjini.
Kiwe kimepimwa na ukubwa wake ukiwA 40x40 itapendeza zaidi.
Nimesema nje kidogo ya jiji kwa unafuu wa bei na pia itafaa kwa project zangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.