Kuna wakati kwa kila jambo... Wakati wa kulia,kucheka nk. Maombi yafuate mapenzi ya Mungu na mahitaji ya jamii.
Sasa mtu kuombea amani,ili hali unajua wizi mkubwa wa mapesa unafanywa na watawala,njama nzito zinapangwa na wachache kuwakandamiza wanyonge nk. si sahihi.Maombezi yalenge mahitaji ya...
Taa za ndani ya gari zikiwashwa, hutupa mwanga kwenye kioo cha mbele ambacho huuakisi mwanga kwenye macho ya dereva. Hali hii ni hatarishi kwani dereva aweza kuacha barabara.
Baadhi ya magari ya abiria yana kiambaza kinachomtenga dereva na abiria.Kiambaza hicho kina pazia zito ama turubai...
kwa mujibu wa LONGMAN DICTIONARY OF CONTEMPORARY ENGLISH NEW EDITION FOR ADVANCED LEARNERS uk 200, neno "brigade" lina maana tatu:1. A large group of soldiers forming part of an army. 2.an insulting word for a group of people who have the same beliefs. 3.a group of people who are organized to do...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.