Recent content by mikunde

  1. M

    Maoni Ushauri na Mapendekezo kwa mabasi ya mwendo kasi (DART): Nini changamoto, nini umefurahia?

    Kwa kweli magari yana jaza kupita kiasi hii inasikitisha sana kwa kuambukizana magonjwa kama TB na mengineyo itakuwa hatari sana kwani hamna hewa ya kutosha . Pia wapo abiria wanaopenda kukaa chini wazuia abiria washindwe kusimama vizuri. Tunaomba wahusika walifanyie kazi hii ni kero kubwa...
  2. M

    Maoni Ushauri na Mapendekezo kwa mabasi ya mwendo kasi (DART): Nini changamoto, nini umefurahia?

    Kwa kweli inakatisha tamaa hasa muda wa asubuhi na jioni. jana nijaribu kufanya utafiti mdogo kuna gari niliifuatilia kuanzia karikoo tulipofika ubungo tulikuwa tunaoongozana na nimeshuka kimara wakati nashuka kwenye daraja yenyewe nikaiona inapita kuelekea mbezi. Tunaomba DART wajitahidi...
  3. M

    Yaliyojiri Bungeni: Jumamosi, 29 Novemba 2014 (Hatma ya Sakata la Tegeta Escrow Account)

    Nimewasikia waziri mkuu na mzee wasira wanatoa sifa nyingi kuhusu maridhiano yalivyofanyika na kufanya suala la escrow kumalizika kwa amani. Kwanini busara hizo hazikutumika kutuandalia katiba nzuri ya wananchi. na siyo katiba iliyoandikwa na mafisadi kama chenge. kama kweli tupo serious kuna...
  4. M

    Yaliyojiri Bungeni: Ijumaa, 28 Novemba 2014 (Hatma ya Sakata la Tegeta Escrow Account)

    Bravo mzee umeongea ukweli. Watu kama hao wangekuwa ccm tungekuwa mbali sana
  5. M

    Tatizo la foleni Morogoro road

    Aliyekuambia ni mambo mazuri ni yapi.subiri mbongo atakapopewa tenda ya basi halafu ubungo junction utapita vipi na kimara mwisho bado ni single lane.acha siasa hatupo serious maneno mengi hata jirani zetu wanasema
  6. M

    Tatizo la foleni Morogoro road

    Ujenzi unaoendelea ktk barabara hii umezidi kusababisha foleni Sijui wahusika wako wapi.kwanini ujenzi usifanyika usiku. gari inamwangilia maua du tanzania inasikitisha na kukatisha tamaa. Wahusika tusaidieni
  7. M

    JK alitamba kuleta maisha bora, sasa anasema atakuwa rais wa mwisho kuiongoza Tanzania masikini!

    Wee acha tu kwetu hatujapata mshahara hali ni mbaya kupita maelezo
  8. M

    Tatizo la maji maeneo ya Mbezi Kimara

    Inasikitisha kwa muda mrefu eneo hili limekuwa na tatizo la maji. tunaomba serikali ikarabati au kununua mtambo mmpya ili kuondokana na tatizo hili.fikiria maji yanapita maeneo yetu na kwenda mjini sisi tunabaki hatuna maji wahusika tusaidieni.maji ni uhai
  9. M

    Dereva gari lenye namba su 33480

    We acha madereva wa serikali nao pia ni mabosi na magari ni ya kwao maana wanalala nayo nyumbani. Huu ni mfumo mbovu kwani madereva wa UN magari wanalaza ofisini. Madereva wa serikali barabara ni zao wenye na sio madereva wa SU wanaoendesha STK, DFP. Jana nilimwona dereva mmoja anaendesha DFP...
  10. M

    Maoni yangu juu ya Mradi wa Mabasi yaendayo Kasi (BRT)

    Sijui nchi hii tumelaaniwa? Barabara kuu ya kuingia nchini ina kuwa na single lane. Kimara mwisho magari yanasimama kwa muda mrefu. Wasimamizi wa barabara wakati ujenzi unaendelea hawajali kabisa watumiaji wa barabara hiyo. Sisi tunaokaa maeneo hayo tunateseka utafiki nchi hii haina sheria...
  11. M

    Godwin Gondwe ndani ya SCOAN live!

    Sio hao tuu yupo pia mama mmmoja professor kutoka chuo kikuu cha DAR, Inapendeza watu wanavyotafuta uso wa Mungu.
  12. M

    Foleni morogoro road-kimara korogwe hadi kimara mwisho

    Barabara ya malamba mawili ingewekwa lami ingesaidia sana! lakini nani mwenye utashi huo wakubwa wapo osterbay wanakula kuku na upepo kutoka baharini
  13. M

    Foleni morogoro road-kimara korogwe hadi kimara mwisho

    Foleni ya Morogoro road ni tishio , utafikiri wahusika serikalini wapo likizo. Mjenzi wa barabara anafanya anavyotaka. Huwezi kuamini barabara kuu inayoingia na kutoka jiji la Dar kuwa na single lane. Tunaomba wahusika mtusaidie watu tunaoishi maeneo hayo tunaamka saa tisa na kurudi majumbani...
Back
Top Bottom