Inasikitisha kwa muda mrefu eneo hili limekuwa na tatizo la maji. tunaomba serikali ikarabati au kununua mtambo mmpya ili kuondokana na tatizo hili.fikiria maji yanapita maeneo yetu na kwenda mjini sisi tunabaki hatuna maji wahusika tusaidieni.maji ni uhai
We unasema yanapita kwenu.., pale ruvu yanakotoka hawana maji.., yaani wanabeba maji vichwani na kwenye baiskeli.., itakuwa wewe yanapita tuu.., acheni ujinga.., chimbeni visima virefu vya jumuiya.., serikali haiwezi kufanya kila kitu.
We unasema yanapita kwenu.., pale ruvu yanakotoka hawana maji.., yaani wanabeba maji vichwani na kwenye baiskeli.., itakuwa wewe yanapita tuu.., acheni ujinga.., chimbeni visima virefu vya jumuiya.., serikali haiwezi kufanya kila kitu.
We unasema yanapita kwenu.., pale ruvu yanakotoka hawana maji.., yaani wanabeba maji vichwani na kwenye baiskeli.., itakuwa wewe yanapita tuu.., acheni ujinga.., chimbeni visima virefu vya jumuiya.., serikali haiwezi kufanya kila kitu.
Ni waTanzania wachache sana wenye uwezo wa kutapika kinyesi kama ulichoongea hapo..-------- kama walivyo watanzania wengi
Hapo kwenye red umefanya kusudi. ila hongera hata hivyo kwa ubunifu wa ki-mbwa...! Lakini hata hivyo.., kwani maji ya chumvi hayafai kupikia.., au hayafai kuoshea vyombo.., kufulia na kuogea na hata kunywa..??! kwani we una raha gani mpaka usinywe maji ya chumvi..??!!!Mkuu visimi tumechimba ila maji ni ya chumvi kwenda mbele. Yaani yanafaa kuwapa mifugo tu. Hongera kwa kukaa oyster bay, the last destination ya maji ya kutoka .
Hapo kwenye red umefanya kusudi. ila hongera hata hivyo kwa ubunifu wa ki-mbwa...!
Hapo kwenye red umefanya kusudi. ila hongera hata hivyo kwa ubunifu wa ki-mbwa...! Lakini hata hivyo.., kwani maji ya chumvi hayafai kupikia.., au hayafai kuoshea vyombo.., kufulia na kuogea na hata kunywa..??! kwani we una raha gani mpaka usinywe maji ya chumvi..??!!!
Ahahaaaaaaaha. Mkuu sijafanya ubunifu wa kiumbwa. Ni kweli tumechimba visima, sio visimi, samahani kwa ku kwamba natumia ipd so nikindika ndo inaumba sentence . Mkuu maji ni chumvi last time nilinunua nikaishia kumpa jirani yangu mwenye mifugo akawapa ng'ombe wake. Serious.