Recent content by miksel

  1. M

    Ufaulu wa masomo katika matokeo ya form 6

    Wakuu , Habar zenu Ningependa kufahamu ufaulu wa masomo kiujumla yani somo lipi limeongoza kwa ufaulu na lipi kwa kufeli Asanten Wakuu.
  2. M

    Kwa waliokosea HESLB

    Wakuu tungependa kufahamu kwa waliokosea kujaza hizi form za mkopo. Kama mimi nimekosea kujaza kata itakuaje hiyo?
  3. M

    ushauri hp

    nimegushi sahii kene clearance form nlikua nataka cheti xaxa nkakamatwa da ticha kakinukisha ... cjui nfanyaje
  4. M

    Calculating Device

    nimegoogle hamna ki2 nachopata
  5. M

    Calculating Device

    msaada types of mathematical/calculating device
  6. M

    Waliochaguliwa kujiunga na form five na vyuo

    Wakuu naomba kuuliza kwa anae fahamu kuhusu hz selection zitatoka ln
  7. M

    Kwa hizi point nitachaguliwa DIT?

    hata m nlijaza tech lkn can uhakika wa kuchaguliwa haisee tupo wng wenye mawzo
  8. M

    SoMa HaPA!!!!!

    Computer hii ninayo toka mwaka 2010 .ram ni 1 gb,,,
  9. M

    SoMa HaPA!!!!!

    yani computer iko slow sana nimejaribu kufuta v2 lakini wapi,,, yani ukifungua file inakaa muda ndo inafunguka
  10. M

    SoMa HaPA!!!!!

    wakuu wa na jamvi nina tatizo kidogo computer yangu iko slow sana nimejaribu kupenguza vitu lakini bado sijui nifanyaje msaada plz
  11. M

    nimaneno yp hyo?????

    Watafurahi xn !!! kwaxababu wataona mwanao kakua!!!! ebu 2pia maneno matamu matamu
  12. M

    nimaneno yp hyo?????

    waoooh!! inaonekana we ni fund xn Xhuxha mengn!!!!!! meng!!!
  13. M

    Civil,geology,mechanics,mining

    nafikiria mpaka nataka kupasuka kichwa cjui nichague ipi bandugu wa JF Msaada please
  14. M

    Haya tena ndugu zangu leo hii tena ndio My Happy birthday yangu

    Happy birthday Mzizi mnono ---- hongera xana pia 2nakuomba uongeze thread za mapenzi zaidi
Back
Top Bottom