Je unaishi maeneo ya Kibaha Kwa Matias? Unaweza kufundisha masomo ya Commerce na Book keeping? Kama jibu ni ndiyo na unapenda kufanya kazi part time, tuandikie na kututumia cv yako na barua ya maombi kwenye email hizi: resbijura@yahoo.com au bijuraa@gmail.com. Mwisho kupokea maombi ni tarehe 30...
Naomba anayejua Mullins/kampuni inayouza nguruwe wazuri ( wanaozaa watoto wengi na kukua kwa haraka) anijulishe. Nijibu humu au kwenye inbox binafsi: resbijura gmail.com.
Shule ya sekondari Inspire (Inspire Sec. Schol talent academy) iliyopo Kibaha, inamtafuta mwalimu wa muziki na/au uigizaji kufanya kazi shuleni kwao. Shule ipo karibu na Kwa Matias na hivyo mwalimu aliye maeneo ya kibaha itamfaa zaidi.
Piga simu 0786227862 au 0755 872 551 au andika barua pepe...
Kama unamjua mwalimu wa sayansi na/au Hesabu anayetaka kuanza kazi mwanzoni mwa mwezi kesho (January) anitumie cv yake na barua fupi ya maombi kwenye email address hii:resbijura@yahoo.com au [email]bijuraa@gmail.com. Anaweza kutuma na text message kwenye namba hii: 0755872551 au 0654453579...
Tunatangaza nafasi za masomo ya sekondari, kidato cha kwanza mpaka cha nne kwa kufanya mtihani na kupata alama nzuri za kudhihirisha kwamba utaelewa ukifundishwa vyema. Naambatanisha kipeperushi:
Kama una uzoefu wa kufundisha drama , muziki au ngoma za htamaduni na ungependa kazi maeneo ya Kibaha Maili Moja-Kwa Matias Kibaha, niandikie barua pepe - resbijura@yahoo.com. Kuna opportunity imejitokeza. Asanteni
Tupo kwenye hatua za mwanzo hivyo kama mtu anaguswa na hili, basi tunazungumza na yapo mazuri mengi mbeleni. Si vyema kuwachosha wana JF kwa details wasizohitaji. Nitumie ujumbe kwa email address hiyo na tutaongea zaidi. Asante
Mimi na wenzangu tunashirikiana kuwasaidia vijana kukuza vipaji vyao maeneo ya Picha ya ndege/ Kwa Matias. Kama we ni mwalimu kwenye maeneo hayo na unajisikia kuwasaidia vijana ili wakuze vipaji vyao, niandikie email ili tuzungumze-resbijura@yahoo.com. Asanteni
Habari wana JF. Naombeni anayejua wanunuzi wa kuku wa nyama (broiler chickens) wanaonunua kiasi kikubwa kama kuku 1000 kwa wiki anijulishe tafadhali. Nafugia Kibaha kwa Matias. Asanteni sana.
Job Description:
Serving as the primary receptionist; maintaining office operations by receiving and distributing communications; Ordering, stocking, and distributing office supplies; Providing direct administrative support to executive directors; Organizing and maintaining paper and electronic...
Samahani sikueleza shamba lipo Gezaulole-Kigamboni. Kwa atakayependa naomba anipigie simu kwenye namba yangu niliyoiweka kwenye hili tangazo. Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.