Recent content by Mikidadi259

  1. M

    Je Tanzania kuna Chama cha Wakemia

    Kazi ya TCS kubwa na ndogo ndogo ni nini naomba kuelimishwa wakubwa
  2. M

    PSRS iendelee kuajiri au turudi kwa mashirika yaajiri tena kama ilivyokuwa awali?

    Ayo mambo ayaepukiki ila kwa kiasi kikubwa PSRS inasaidia ata watoto wa maskini wanapata pakuingilia
  3. M

    Wanafunzi wa udsm, udom, dit na uba wa BSc in Chemestry huwa mnafanyia fiel wapi?

    Jamani wakuu hivi div two ya point 10 unaweza kupata kozi ya bsc chemestry pale udsm...?
  4. M

    Tupeane Updates za Ajira za JKT kwa mwaka 2019 hapa

    Kaka uckariri kila mtuu nabahatiyakee bora upiganee kwa unacho kipenda hataa ukikosa unakua ulipiganaa kulikoo ataa usijaribuu notee that siyo kila anaeenda jkt anarud nyumban acha mentality za kukalili nakukatisha watu tamaa
  5. M

    Vigezo vyakuwa askari wanyama pori

    Ata mm ilu mm linanitatiza ili swalaa naombeni jibuu mfano umemalza form six masomo ya sayansi CBG division two ya 10 unaweza pata nafasi??? Naomben msaada wakuu wenye uelewaa
  6. M

    Interview za TANAPA zinadhalilisha watahiniwa! Waliowahi kushiriki tupeni uzoefu wenu

    Naomba kuuliza jaman mie ninaelimu ya kidato cha sitaa nmemalza 2017 nahitaji kuaply hii kazi ivnaweza kupata?
  7. M

    Tupeane Updates za Ajira za JKT kwa mwaka 2019 hapa

    😂😂😂 wabongo tatzo kaka wanaishi kwa mazoeaa
  8. M

    Ajira za TANAPA

    Em nisaidie namba zakoo mkuu unielekezee🙌
  9. M

    Ajira za TANAPA

    Poa poa kaka ngjaa nijaribuu semaa sijui ata nianzie wap ,,,, mwenye information kidogo anipee wakubwaa
  10. M

    Ajira za TANAPA

    Iv ukiwa form six aujapitia jkt vp cuna apply? Em nisaidieni na kwa hilii
  11. M

    Ajira za TANAPA

    Mie mwenyewee nimeona ivoo ila nmemchek jamaa ang service amenambia deadline imepita sasa sijaelewaa
  12. M

    Tupeane Updates za Ajira za JKT kwa mwaka 2019 hapa

    Mbonnaa unatoka nje ya madaa mzee,, tumesema tunapeana update znatoka lini nan kazungumzia ajira apaa
Back
Top Bottom