tafuta hela kaka utaoa mwanamke yoyote utayempenda na kwanin ufiche upendo ili kumshawishi akupende bila kumwambia na ktk hzo 20 namba 18 umejichanganya ukalitumia neno NAKUPENDA AU ILOVE U kwa hy inamanisha ni vile tu wewe unatufundisha kujichelewesha kumwambia mwanamke unampenda kwa hyo...
mwanamke akitaka kuridhika ni yeye mwenyewe tu sasa utakuta anakutangulizia hela halafu wewe uhangaike kumpatia raha yeye afike kileleni we utakuw mjinga,,,
unapoona maisha magumu cha kwanza muelekee Allah.,umuombe msamaha kwa mabaya na umshukuru kwa yote mazuri aliyokufanyia mpaka kufikia hapo muombe akutilie wepesi katika magumu unayopitia akupe afya njema na abariki shughuli au kaz unayofanya ili iwe na tija kama kazi hauna tafuta au omba msaada...
...ulizaliwa 1970 wewe ndy unajuw zaidi yetu kama ilimshinda au haikumshinda kulingana na mateso uliyopitia wakat huo au uchumi wa nch au maendeleo uliyoyakuta akashndw kuendeleza au jns alivyokuw akitawala na utawala wa wakoloni.nadhani ww ndy mwenye majibu wa swali lako,asant
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.