Recent content by mikest

  1. M

    Sasa Lema, Nassari na CHADEMA wataamka?

    Inatoshaaaa
  2. M

    Sasa Lema, Nassari na CHADEMA wataamka?

    Ninaunga mkono hoja 100%... Upinzani wanatakiwa kubadilisha mikakati, na Mbunge Nasiri aonde mashitaka takukuru ile kesi haina maana
  3. M

    Wabunge Lema na Nassari watoa ushahidi wa DC na Mkurugenzi Arumeru walivyowarubuni Madiwani 10 wa CHADEMA waliohamia CCM

    Kwa pumba ulizoandika, Kumbe ndio maana TZ ni nchi masikini, umasikini unaletwa na watu kama nyie.... Uwezo wa kufikiri ni zero
  4. M

    Mh. Spika Jitahidi Kuheshimu Wabunge wa CHADEMA

    Tanzania tumelogwa na ccm, wao kila kitu ni kugonga makofi kwa meza
  5. M

    Ni kweli bilioni 10 zimejenga flat 20? Au tuna woga kuhoji gharama halisi?

    billion 10 hazitoshi kujenga flat 20, huo nikutafuta kiki Kwa wananchi, nyumba tu ya kushii ya kawadi ambayo ni standard ni 70mil
  6. M

    Hivi CHADEMA mtawaambia nini wananchi wakati wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2020?

    Tanzania tuna safari ndefu sana! kama bado kuna watu wengi wenye mawazo kama uliyoyaleta hapa... ndio maana umasikini hautaisha Tanzania na tutaendelea kuwa omba omba mpaka mwisho wa dunia
  7. M

    Sakata la viroba: Mselia wa Dodoma ajipiga risasi na kufa

    muda ni mfupi sana! wafanyabiasha wengi watapoteza maisha kwa msongo wa mawazo! RIP mfanyabiasha dodoma
  8. M

    Makamba chunga sana, hili la viroba linakuondoa kwenye uwaziri maana umekurupuka sana

    inasikitisha sana! Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema mfanyabiashara wa Dodoma, wito kwa Serekali itoe tamko hatima ya viroba vinavyokamatwa otherwise wafanyabiashara wengi watapoteza maisha.
  9. M

    Msisitizo; CHADEMA kuna ombwe la uongozi

    Mimi sio mwanasiasa ila kwa hili pambano lilivyokuwa linaendelea ninaipa chadema ushindi, wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa na sikujua kama inaogopwa namna hiyo kiasi cha kupelekea serekali kutumia gharama kubwa namna hiyo...
  10. M

    UKUTA's tactical move, a blow to prophets of doom!

    duuu chadema nomaaaa.... wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa pia imefuruga budget ya police
  11. M

    It's shameful to be regarded as a member of CHADEMA

    Mimi sio mwanasiasa ila kwa hili pambano lilivyokuwa linaendelea ninaipa chadema ushindi, wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa na sikujua kama inaogopwa namna hiyo kiasi cha kupelekea serekali kutumia gharama kubwa namna hiyo...
  12. M

    CHADEMA ya Dr. Slaa na Zitto siyo hii ya Lowassa na Mashinji, chama kimepoteza dira'

    Mimi sio mwanasiasa ila kwa hili pambano lilivyokuwa linaendelea ninaipa chadema ushindi, wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa na sikujua kama inaogopwa namna hiyo kiasi cha kupelekea serekali kutumia gharama kubwa namna hiyo...
  13. M

    Jeshi la Polisi lapiga marufuku mikutano yote ya ndani na nje ya vyama vya siasa

    kila kukicha UKUTA, UKUTA....duuu yani hata chadema wenyewe hawalitamki kwa wingi kama ccm na police...
Back
Top Bottom